Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,366
- 2,151
Habari ya jumapili wanaJF hasa wa jukwaa hili la MMU.
Kijana mwenzi nina nia ya kuopoa mchumba wa kizungu ambapo hapa maeneo ninayoishi kuna wadada watatu wa kizungu huwa ninawaona wapo wapo sana hivyo basi nimeonelea nimtafute mmoja wao aingie kwenye anga zangu.
Mara kwa mara huwa tunakutana kwenye cafe moja hv wakipiga misosi na vinywaji kibao.
Siku ya kwanza nimekutana nao tukatambulishana mmoja katokea German, mwingine Sweden na mwingine uswisi, age between 23-33, mimi 28 tukapigana sana story.
Hebu tusaidiane waungwana ukiamua kumtokea mzungu ni mbinu gani nizitumie atue kifuani kwangu hata kumuoa hapo baadae..!!
Tusaidiane.
Kijana mwenzi nina nia ya kuopoa mchumba wa kizungu ambapo hapa maeneo ninayoishi kuna wadada watatu wa kizungu huwa ninawaona wapo wapo sana hivyo basi nimeonelea nimtafute mmoja wao aingie kwenye anga zangu.
Mara kwa mara huwa tunakutana kwenye cafe moja hv wakipiga misosi na vinywaji kibao.
Siku ya kwanza nimekutana nao tukatambulishana mmoja katokea German, mwingine Sweden na mwingine uswisi, age between 23-33, mimi 28 tukapigana sana story.
Hebu tusaidiane waungwana ukiamua kumtokea mzungu ni mbinu gani nizitumie atue kifuani kwangu hata kumuoa hapo baadae..!!
Tusaidiane.