Mchumba wa kizungu, nitampataje..!!

Mchumba wa kizungu, nitampataje..!!

kaka african girls are so beauty, n sweet if u do not blv ask white men thmselves! kwani wa zamani yuko wapi au tamaa za fisi!
kaka au umeambiwa kwa mzungu kuna some content zinaongezeka?.......... hahahaaaa.... umebugi meeeen kitu ni kilekile!

as it was said "seeing is believing" and myself i say "testing is believing".
Kwa nini tuwaogope wazungu bwana??
 
Jipange tu kuanzia muonekano wako, uongeaji wako, na hata style yako ya maisha. Mfanye kwanza aakuamini kwamba wewe si tapeli, then piga mambo ya kikacha kacha na mengine kama ulivyoambiwa hapo juu. Pia Ujiandae kumpa kupitia mtandao wa tigo.
 
Kwaiyo Unataka Umsalit Mchumb Wako Mwafrka Ksa Wazungu? Inavoonekana Una Tamaa Sana Kaka,! Yan Hata Hujui Yupi Unampenda,et Yeyote Yule Unataka Kumtongoza!! Kwan Uzungu Ndo Nn??unazugka Na Rang?

unajuaje kama nina mchumba? Huenda me mwenzio ndo natafuta?
 
Hahaha...haya mambo ya wazungu haya mmh we acha tu.
Nakumbuka mwaka jana kuna true story fulani niliisikia kuna mpishi mmoja wa Golden Tulip kama sio Sea Cliff Hotel...aliingizwa mkenge na mwanamke wa Kiitaliano.
Jamaa baadaye akapelekwa Italiano, kufika huko yule mwanamama akamgeuka yule mshikaji, baada ya muda yule mshikaji akaanza akageuzwa choko ukuta na kuanza kuingiliwa na kaka wa huyo dada wa kizungu...
Ilikuwa ni story ndefu...nikipata wasaa nitaiandika kwa kirefu...
 
Jipange tu kuanzia muonekano wako, uongeaji wako, na hata style yako ya maisha. Mfanye kwanza aakuamini kwamba wewe si tapeli, then piga mambo ya kikacha kacha na mengine kama ulivyoambiwa hapo juu. Pia Ujiandae kumpa kupitia mtandao wa tigo.

Kabaaanggg.!!
Hapo napo sasa.
 
Hahaha...haya mambo ya wazungu haya mmh we acha tu.
Nakumbuka mwaka jana kuna true story fulani niliisikia kuna mpishi mmoja wa Golden Tulip kama sio Sea Cliff Hotel...aliingizwa mkenge na mwanamke wa Kiitaliano.
Jamaa baadaye akapelekwa Italiano, kufika huko yule mwanamama akamgeuka yule mshikaji, baada ya muda yule mshikaji akaanza akageuzwa choko ukuta na kuanza kuingiliwa na kaka wa huyo dada wa kizungu...
Ilikuwa ni story ndefu...nikipata wasaa nitaiandika kwa kirefu...

Pls share nasi ili wajifunze hawa madogo wanaodhani ulaya tambarare. Mmasai mmoja yalimshinda huko scandinavia, daily kuamrishwa, kufanywa baby seater, kupika na zamu kabisa mweeehhh akasema mimi hapana pikia mwanamke wala kushinda iko bembeleza yoyooo...alizua varangati hadi walimrudisha bongo mwaka juzi.
 
Kwanza we ni kabila gani??? Ubahili weka pemben kwanza....
 
Nikipata wasaa nitaiandika maana ni true story so I have to put down kila kitu kwa ufasaha...

Pls share nasi ili wajifunze hawa madogo wanaodhani ulaya tambarare. Mmasai mmoja yalimshinda huko scandinavia, daily kuamrishwa, kufanywa baby seater, kupika na zamu kabisa mweeehhh akasema mimi hapana pikia mwanamke wala kushinda iko bembeleza yoyooo...alizua varangati hadi walimrudisha bongo mwaka juzi.
 
Wazungu wepesi sana ndg. ...wewe muombe umtoe out kwa kupata vinywaji. ..akikubali basi ujue mchezo umeisha......akiwa hakutaki basi hatokubali kutoka out na wewe
 
Ukishindwa kabisa Kuna trailer park kule Mbagala wamejaa white trash wengi tu utajizolea wengi.
 
Vaa singland , malapa na kikaptura kifupi , ukiweza fuga rasta, kisha zungukia mitaa ambayo wazungu wanaipenda! mungu si atthumani hata wazungu wa kiume wanaweza kukuzimikia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom