Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,177
- 24,653
Huyo jamaa yaani hata Wakenya wachache wanajua ni Mtanzania, kuna siku gazeti ilikua nikinunua nafungua ukurasa wa katuni zake ndio baadaye nisome mengine. Afu mchokozi sana, anaachokonoa kote kote hebu ona hii picha hapa
Nakusoma sana mkuu!