Mchora Katuni Gado Buana...ha ha ha!

Huyo jamaa yaani hata Wakenya wachache wanajua ni Mtanzania, kuna siku gazeti ilikua nikinunua nafungua ukurasa wa katuni zake ndio baadaye nisome mengine. Afu mchokozi sana, anaachokonoa kote kote hebu ona hii picha hapa

0fgjhs22l50t69cb2.11098027.jpg

Nakusoma sana mkuu!
 
Huyo jamaa yaani hata Wakenya wachache wanajua ni Mtanzania, kuna siku gazeti ilikua nikinunua nafungua ukurasa wa katuni zake ndio baadaye nisome mengine. Afu mchokozi sana, anaachokonoa kote kote hebu ona hii picha hapa

0fgjhs22l50t69cb2.11098027.jpg
GADO ni Mtanzania ndugu. Aliondoka nchini baada ya kuchora katuni ya Kikwete jamaa wakamkalia kooni.
 
Maiti inaongea walahi
Gado na kizazi chake wana laana ya ya milele walahi
Kibaraka wa wadhungu walahi
 

Mama umekuja na huku??? Hahahah wew kweli una laana na kizazi chako, kama huna basi laana ikupate kama unavyoombea wenzako
 
sasa mbona mikingamo tena? Kwa hiyo ni mnafiki au ni jasiri?

Mkuu mikingamo hakuna mbona.....

Ulivyo-bold mbona vipo sawia mzee au unasomaje?

"Mnafiki sana" mbona ni synonymous na "such a woman" au wewe unatumia nini kuelewa mambo?...

Maana ni kama nimem-downgrade,thats the whole meaning...

Sidhani kama nimekingama mahala!
 
Mkuu mikingamo hakuna mbona.....

Ulivyo-bold mbona vipo sawia mzee au unasomaje?

"Mnafiki sana" mbona ni synonymous na "such a woman" au wewe unatumia nini kuelewa mambo?...

Maana ni kama nimem-downgrade,thats the whole meaning...

Sidhani kama nimekingama mahala!

I guess I was too optimistic. Nikadhani ni mimi nimekosea kuwa umemdhalilisha mwanamke kwa kumuita mnafiki. Hata hivyo majibu yako kwenye uzi huu yanajidhihirisha bayana.

Isiwe tabu, nitaishia hapa maana hakuna haja ya kuendeleza mjadala na binadamu asiyejitambua.
 
I guess I was too optimistic. Nikadhani ni mimi nimekosea kuwa umemdhalilisha mwanamke kwa kumuita mnafiki. Hata hivyo majibu yako kwenye uzi huu yanajidhihirisha bayana.

Isiwe tabu, nitaishia hapa maana hakuna haja ya kuendeleza mjadala na binadamu asiyejitambua.

Noooooo

Mzee unakosea..sijamdhalilisha mwanamke!

Ni mwanaume nimemwita mwanamke....nikiwa na lengo kua tabia za mwanamke nimezihamishia kwa huyu mwanaume anaitwa Masudi

Ni the same kama mwanamke ukamwita mwanaume....yaani tabia za mwanaume umemhamishia huyo mwanamke!

Kusema kua umemdhalilisha mwanamke si sawa maana nimefanya kuhamisha tabia zake figuratively kwa mwanaume!

Wewe kwenye ubongo wako tayari ushaweka ngazi kua mwanaume ni bora zaidi ya mwanamke..It is not my problem,it is your problem wired into your head!
 
Wewe unaweza kumchamba Jiwe?au vile upo humu kujificha?Mazingira tuliyonayo sio yakumlaumu MTU nakumuona mdhaifu .Hali ni mbaya sana kila mmoja anafanya kwa tahadhari
Umenena kweli kabisa mkuu hakuna mtu anayependa kupotea hata kabuli lisiwepo Masoud anajitahidi mno kwa mazingira tuliyonayo kwa sasa
 
Sio kumchamba kama tupo uswahilini mzee...

Ushaona Generali Ulimwengu anavyotoa hoja za kupinga vitu?

Hii sio match ya kutukanana,ni hoja smart bandika bandua!

Ndio tunavyotaka....sio mambo ya kutukanana....

Jiwe ni kumpa hoja smartly,akikufuata kosa litakua kwake sio kwako!



Mkuu Masudi ana platform,anatakiwa akiona uonevu mahali auseme bila kificho...

Masudi sio some token small guy like me and you,ni mtu anaejulikana na jamii nzima,huwezi muonea kifala fala tu,jamii will react back!

Kwahiyo anainjoi public protection kutoka kwetu,inatakiwa akemee uonevu kwa wazi!

Namlaumu sababu ana platform kubwa zaidi hata ya JF tuliyonayo sisi wanyonge,anaweza effect kwa ukubwa zaidi kukemea maonevu...Hiyo ndio shida!

Jiwe anatafuta ulipokosea ndio anakufata,ila kama ni clean punches hana pakukushika,labda afanye tena abductions ambapo atapokea public cry ambayo anaiogopa kama ukoma!
We jamaa unasema tu,hukumbuki Masoud walimteka unajua walimpa maonyo gani......lkn pia kumbuka kuna watu walishatekwa mmekemea mara ngapi hao watu wamerudi au hata maiti zao mmeziona?
 
Back
Top Bottom