Vanpopeye
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 620
- 59
Habari ndugu zangu, kwa anayesoma mchepuo wa HGL anaweza akasomea fani gani chuo kikuu ikiwa matarajio yake ya kwanza ni kupata ajira? (Fani ambayo ajira zake si ngumu sana kupata)
Pia anaweza akasomea ualimu akawa mwalimu wa Geography+Language?(Kwa kuwa tunaona sasa waalimu wa Arts wengi hawapo kwenye ajira ya ualimu)
Asante.
Pia anaweza akasomea ualimu akawa mwalimu wa Geography+Language?(Kwa kuwa tunaona sasa waalimu wa Arts wengi hawapo kwenye ajira ya ualimu)
Asante.