Mchakato wa ajira za ualimu uangaliwe upya ili kuleta tija na ubora wa elimu

mozeh

JF-Expert Member
Mar 13, 2022
494
952
Hope mko poa wakuu.. leo mkeka wa ajira za ualimu na afya umetoka waliopata kongole kwao na waliokosa msikate tamaa kuna maisha nje ya kuajiriwa..

Kitu kimoja kimenifikirisha sana katika recruitment ya ajira hizi haswa upande wa elimu... inakuaje watu wanachaguliwa kwenda kufanya kazi katika sekta nyeti kama elimu bila usahili?? Yaani kigezo cha mtu kupata kazi ya ualimu ni mwaka aliohitimu seriously???

Kwanini usiwekwe utaratibu kama kada zingine waombaji wafanyiwe usahili ili kupata walimu walio bora wenywe uwezo wa kuleta matokeo chanya..

Imagine mwalimu hana content, hawez ku deliver na kuhamisha maarifa watoto wakamuelewa, chuo kafaulu kiujanja ujanja lakn anapata ajira kisa mwaka alohitimu.. wahusika suala hili liangalieni kwa jicho la pili igeni mfano hata wa shule za private wanavofanya..

Kuna walimu apa watakuja kuponda ila kumbukeni hii nayo ni moja ya sababu inayofanya wakubwa wasijali maslahi yenu kwa kuwa wanajua wengi mmepata ajira kimagumashi..

NB. Tuweke competition kwa walimu haswa katika usahili ili tupate walimu bora na sio bora walimu
 
Ni moja y kigezo chao ukitoa masomo kigezo cha pili ni mwaka wa kuhitimu chuo.. refer kwmy post hzo zilizotoka leo washkaj zang weng tuliomaliz nao 206 wamepenya ila kuna dogo kitaa apa cheti chake kizur tuu ila kakosa ajira ukichunguza sbb kisa kamaliza 2021
Kama ana cheti kizuri wamemuonea kumuacha,nakumbuka niliajiriwa mwaka ulofata baada ya kuhitimu,kupitia interview ya Utumishi,na kuna walonitangulia kumaliza chuo,lakin hawakupita interview Ile🙏usaili ni muhimu sana,sema wengi wamekaa mtaani muda mrefu,ndio sababu wameweka kigezo Cha muda wa kuhitimu,which is not fair.
 
Kwani mana ya vyeti ni nini,Tanzania tunaangalia vyeti,hatuna mda wa kuita interview watu wote hao.Usilinganishe ajira za shule binafsi na nchi
 
Hope mko poa wakuu.. leo mkeka wa ajira za ualimu na afya umetoka waliopata kongole kwao na waliokosa msikate tamaa kuna maisha nje ya kuajiriwa..

Kitu kimoja kimenifikirisha sana katika recruitment ya ajira hizi haswa upande wa elimu... inakuaje watu wanachaguliwa kwenda kufanya kazi katika sekta nyeti kama elimu bila usahili?? Yani kigezo cha mtu kupata kazi ya ualimu ni mwaka alohitimu seriously???

Kwanini usiwekwe utaratibu kama kada zingne waombaji wafanyiwe usahili ili kupata walimu waliobora wenywe uwezo wa kuleta matokeo chanya..

Imagine mwalimu hana content, hawez ku deliver na kuhamisha maarifa watoto wakamuelewa, chuo kafaulu kiujanja ujanja lakn anapata ajira kisa mwaka alohitimu.. wahusika suala hili liangalieni kwa jicho la pili igeni mfano hata wa shule za private wanavofanya..

Kuna walimu apa watakuja kuponda ila kumbukeni hii nayo ni moja ya sababu inayofanya wakubwa wasijali maslahi yenu kwa kuwa wanajua wengi mmepata ajira kimagumashi..

NB. Tuweke competition kwa walimu haswa katika usahili ili tupate walimu bora na sio bora walimu
Kama hujapata ajira ni bora tukasubiri wakati mwingine, nakumbuka kuwa wakati wa mungu ni wakati sahihi, acha wivu waache watu wakalambe asali wahepukane na hili jua la utosi.
 
Hivi hao watakao kuwa wanawafanyia interview sio binadamu? Huko wanakofanya interview wanapata wenye uwezo tu? Tena wakifanyiwa interview watakaopata ni wale wabovu wenye connection.
 
Walimu mumeanza majungu tukisema Mna laana mnakasirika. Walimu hovyo kabisa
Mbona wagogo wenzio ni ombaomba na wao ni laana!? Umeutaka ukaukosa ukawachukia walimu why!?
JamiiForums-575292719.jpg
 
Me nashangaa watu wanafurahi ajira za kutupwa huko maporini ambako mtakutana na wanyama wakali na mambo ya kipori pori wengine wanahuzunika kwa kukosa ajira za huko mashambani, hii nchi ngumu
Hhhahaha hawa wana laana mkuu yapaswa wakaishi huko
 
Walimu mumeanza majungu tukisema Mna laana mnakasirika. Walimu hovyo kabisa
Sio majungu mkuu waalimu wengi hawana content coz weng wao walifeli na kuunga unga elimu zao af mfumo unawabeba ila kama tunataka matokeo mazur waalim inabd wafanyiwe usahili kama kada zingne afu tukishapata walimu bora ndo tuwatengenezee maslahi mazuri ila wakiendelea kuzoa zoa tuu kisa mwaka wwa kuhitimu maslahi yao yatabaki duni mpk kiama
 
Back
Top Bottom