MAHAKAMA YA KADHIMiaka mitatu? Kabla haujamuacha ni vema ukamuandalia kiinua mgongo chake ili asikupeleke Mahakama ya Kazi.Hata hivyo,kumuacha yahitaji akili za ziada.Mmeshatengeneza mafungamano ya mwili na akili.Polepole nenda naye usijezua balaa zaidi.