funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,650
- 21,489
Kivipi me niko nje ya bongo ina maana huku nimekuja kwa ungo? Hapo namaanisha atume mizigo kwa mkewe yeye aje na kibegi tu. Ina maana ww hujawahi safirisha mizigo kwenda sehemu nyingine?si bure wewe hujawahi kupanda ndege