Mchepuko wa Kikorea umeng'ang'ana nirudi nao Tz

Mchepuko wa Kikorea umeng'ang'ana nirudi nao Tz

si bure wewe hujawahi kupanda ndege
Kivipi me niko nje ya bongo ina maana huku nimekuja kwa ungo? Hapo namaanisha atume mizigo kwa mkewe yeye aje na kibegi tu. Ina maana ww hujawahi safirisha mizigo kwenda sehemu nyingine?
 
Umueleze ukweli kabla hujaondoka usije ukamtosa huku ugenini ukamsumbua.
 
Nafahamu ndugu mmoja tulikulia mtaani pamoja, akapata sponsorship kwenda kusoma Turkey, kabla ya hapo alifanya kazi miaka kadhaa akamchumbia binti mmoja na kumpatia mimba ila kabla ya ndoa ndio akaenda masomoni kusoma degree ya engineering, mchumba akamuacha kwa wazazi wake...jamaa nadhani story yake inarandana na yako binti wa kizungu kukolea kwake, akashindwa kufurukuta akafunga ndoa uturuki akiwa anamalizia masters maana aliunganisha...binti alikuwa anatokea familia tajiri akamwezesha mengi, jamaa akamaliza akarudi bongo na familia ikajua ameoa tayari hivyo akaandaa nyumba safi na punde mtoto wa kizungu akatia maguu na wanaishi wote mpaka Sasa....masikini binti wa watu aliyechumbiwa akahamia kwake anakuja kusalimia mtoto wake tu maana jamaa ana mtoto mwingine na huyo mzungu...shit happens ila wanaume tuna tamaa saaaaana aiseee
 
Mkeo kashasoma hapa na kukushtukia kwa nini humtumii zawadi.
 
hairisha safari...fanya mpango aende nchi nyingine tofauti na tz kwa vile ako na hela....nenda nae south africa mnunulie nyumba au akodi appartment. hapo alafu umwache hapo ndo uje tanzania ....kaa nae hivyo hvyo uwe na makao mawili bongo na south..wife akiuliza why unaenda south kila wakati mdanganye unaenda kibiashara...akishajifungua ndo umwambie ukweli akimind arufi zake korea...
 
Hakika huu ni mtihan zaid ya hiyo master bro,cha muhimu subir mitihan baad ya hapo mwambie ukweli tuu.

Mana ukisema umkimbie ni kazi bur tuu mana saiv dunia hain ujanja na ukizingatia ana data zako bro ukwel utakuepusha na mengi kuliko kumkimbia.
 
usisahau kuupdate post kuleta mrejesho kama hii sio hadithi ya kutunga,me mwenyewe ningekuwa ndo wewe nisingeweza kujua nn kizuri nifanye kwa situation hyo.so npo kwa ajili ya kuambulia chochote kwenye huu uzi.nasoma comments lakn nangoja mrejesho wako mkuu.
 
Mwambie ukweli tu maana hakuna namna alafu responce yk itakupa mweleleo ufanye nn..
 
we bwege kabisa kwa hiyo ukiwa nje ya bongo lazima uwe umekwea pipa,hata kisumu nje ya bongo na unaweza kwenda hata kwa guta
kwa nini unanitukana mkuu, huwezi jibu bila kutoka povu kilichokupanikisha ni nini? unajua kama ni kosa kumtukana mtu mtandaoni
 
Well said brother, baada ya mtihani kuna allowance ya wiki kama mbili hivi.
Swala la kujadiliana na huyu binti halitakiwi kabisa kwa sababu alionyesha dalili za kuwa makini ukimwambia nataka kwenda Shangani au Busan yeye anaweza kusema twende wote. Kwanza kwa muda aliokuwa nami amekata mawasiliano na ndugu jamaa na rafiki kampani yake ni mimi, hawezi akakaa siku nzima bila kuonana.
Wasukuma wanasemaga, 'wapugije shitumbula munada'
 
bhebhe baba Lubebena Mawe, wandije kugabebena mpaga na mawe ka kizungu.. ila pole nkoyi niyoooo ulu ni nene unzungu niwashika shi, atiko kulema shi, ngwilege utolile nyanda, ukucha. ivi abhazungu batalogaga?
 
bhebhe baba Lubebena Mawe, wandije kugabebena mpaga na mawe ka kizungu.. ila pole nkoyi niyoooo ulu ni nene unzungu niwashika shi, atiko kulema shi, ngwilege utolile nyanda, ukucha. ivi abhazungu batalogaga?
Bhatalogaga abhoi.
 
Back
Top Bottom