Daah! sikujua kumbe watu wako na problaah kiasi hiki duuh!Wakuu sijaoa lakini nina mchumba ambaye soon tutaoana. Sasa kuna binti mwaka jana alikuwa anasoma chuo nilimpenda kwa dhati kwa nia ya kumuoa lakini akazingua ni mzuri sana na ilibidi nimtongoze kama miezi 2 hivi siyo kawaida yangu nilipoona mambo bado magumu nikamtema na nikapata mwingine ambaye tumepiga hatua hadi kukaribia kuoana sasa.
Mwaka huu yule binti alianza mazoea hapo ameshamaliza chuo anafanya kazi yaani msg asubuhi, mchana, jioni na usiku. Akipiga simu anataka tukeshe tunaongea na anaomba appointment za kuonana na mimi mara kwa mara papuchi ananipa kama vile nimeoa. Nilistaajabu sana yalipotoka haya mapenzi yasiyojulikana.
Sasa jamani sasaivi anataka ndoa kwa nguvu yaani anadai afe kipa afe beki lazima nimuoe anamzingua hadi mchumba wangu. Nimeshamtia makofi mara 3 lakini aachi. Anajitoa vibaya sana kwangu hadi mshahara wake wote analeta. Majuzi amenunua kiwanja kaandika jina langu nimemwambia sitaki hiyo ni mali yako, ananishauri tuingie miradi ya pamoja na biashara namkatalia.
Nimeshamweleza sina mpango wa kumuoa lakini haelewi anadai nimemchezea na rafiki zake wote wameolewa yeye ataolewa na nani. Sasa namuuliza mbona sikukukuta bikra? Anakosa majibu na nilipotambua ananitega mimba nikaacha kumgegeda.
Nishaurini nimfanyeje huyu mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unalo hilo
Ukimuendekeza mbwa, utaingia naye msikitini.
Tuipende nchi yetu Tanzania.
Nimeupenda sana ushauri wako mkuu. Asante sanaHuyo demu alishakuweka kwenye list ya options zake. Priority sio wewe na anataka muwe wote kwa maana ulionesha nia ya kumuhitaji kiukweli hapo awali, its likely tayari amemwagwa na mtu ambae aliona ndio wa uhakika kipindi kile we unamtaka.
Hapo kinachomtesa hivyo ni ile aibu kuwa ye alikosea kuchagua mtu na wenzie wote wameolewa tayari. Sasa amekurudia wewe na kukupa yote uliyohitaji na kulazimisha bonus pack ilihali anajua una mtu wako tayari. Hio sio dalili nzuri hata kidogo na kwa KE anayejiheshimu asingeweza kufanya hayo.
Trust me huyo hakukupenda na hata mkiwa wote after harusi atakuwa anachepuka na yule ex wake na wanaume wa type ile huku akianza dharau maana umempa power ya kuku drag. Anataka akurubuni umuoe tu umfichie aibu ila hamna mke hapo.
Nakushauri baki na mpenzi wako mlioanza nae mbali hadi kufikia sasa umejiweza na mmepanga kuoana. Huyo ndie anaekuelewa vyema hakika mtabarikiwa sana mkuu!
Asante kwa ushauri nitaendelea kumkazia mwanzo mwishoUmri umeenda anatafuta pa kufia maringo mengi utadhani yake inatema maji ya kimakinikia mpe za uso usipokee simu zake, ukitaka kumuadhibu nyani usimuangalie usoni,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke adhulumiwi utasumbuka naye sana mpotezee. Yeye hana kiwanja halafu ananipa mimi wapi na wapisasa fanya mpango wa kuniuzia hicho kiwanja alichokinunua na kuandika jina lako kama ww hukitaki
Your welcome anytime bro
Labda alijua hujakamilika alipikuta upo vizuri anaipigania nafasi