Mchepuko king'ang'anizi

Mchepuko king'ang'anizi

Eti ulimtema baada ya kuona anakuzingua ukatafuta mwingine sasa alikulaghai vp ukaingia kingi? Yaani apo anakuona boya afu unadanganyika kirahisi katemwa huko alikokuwa anategemea kuolewa akakukumbuka wewe mbulula na ukimua umekwisha atakupekesha hadi bac jiongeze mkuu
 
peer pressure!
anaona wenzie waolewa na yeye jua ndo lazama tena lazima awehuke
 
Haaaahaa. Endelea kumchezea tyuuu

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Kaka maisha pesa,
Napenda nikushauri umuoe huyo dada uliyempenda kwanza akawa anamalizia masomo yake chuo, maana siyo kwamba alikuwa hakupendi , bali alikuwa anajitunza na kuhakikisha kwamba anamalizia elimu yake vizuri kwaajili ya maisha yenu ya baadae kama unavyoona tayari amemaliza na elimu imempa kazi ,na sasa amekuja rasmi kutimiza ndoto zako za kuwa mke mwema wako. Yeye anaamini kuwa wewe ndiye mumewe wa maisha yake, na ndiyo maana yupo tayari kukupa kila unachotaka au kinachohitajika katika maisha yenu.
Mfikirie mara mbili, usijejuta baadae.
Alikuwa anaanda maisha yenu.
Yangu ni hayo tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu sijaoa lakini nina mchumba ambaye soon tutaoana. Sasa kuna binti mwaka jana alikuwa anasoma chuo nilimpenda kwa dhati kwa nia ya kumuoa lakini akazingua ni mzuri sana na ilibidi nimtongoze kama miezi 2 hivi siyo kawaida yangu nilipoona mambo bado magumu nikamtema na nikapata mwingine ambaye tumepiga hatua hadi kukaribia kuoana sasa.

Mwaka huu yule binti alianza mazoea hapo ameshamaliza chuo anafanya kazi yaani msg asubuhi, mchana, jioni na usiku. Akipiga simu anataka tukeshe tunaongea na anaomba appointment za kuonana na mimi mara kwa mara papuchi ananipa kama vile nimeoa. Nilistaajabu sana yalipotoka haya mapenzi yasiyojulikana.

Sasa jamani sasaivi anataka ndoa kwa nguvu yaani anadai afe kipa afe beki lazima nimuoe anamzingua hadi mchumba wangu. Nimeshamtia makofi mara 3 lakini aachi. Anajitoa vibaya sana kwangu hadi mshahara wake wote analeta. Majuzi amenunua kiwanja kaandika jina langu nimemwambia sitaki hiyo ni mali yako, ananishauri tuingie miradi ya pamoja na biashara namkatalia.

Nimeshamweleza sina mpango wa kumuoa lakini haelewi anadai nimemchezea na rafiki zake wote wameolewa yeye ataolewa na nani. Sasa namuuliza mbona sikukukuta bikra? Anakosa majibu na nilipotambua ananitega mimba nikaacha kumgegeda.

Nishaurini nimfanyeje huyu mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anataka ndoa tu hana mapenz na ww fanya umalize ulichokianza na na mchumba wako kinyume na hapo utakuja kuja muda sio mrefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti ulimtema baada ya kuona anakuzingua ukatafuta mwingine sasa alikulaghai vp ukaingia kingi? Yaani apo anakuona boya afu unadanganyika kirahisi katemwa huko alikokuwa anategemea kuolewa akakukumbuka wewe mbulula na ukimua umekwisha atakupekesha hadi bac jiongeze mkuu
Wewe hamna ulichocomment ni mihemko tu. Wewe ukipewa mbunye utaiacha? Katemwa huko halafu mimi nimemuoa au sio? Kama ni dada yako kamuambie nimemla na kumuoa simuoi, na hela nimekula kiwanja nimekataa sitaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka maisha pesa,
Napenda nikushauri umuoe huyo dada uliyempenda kwanza akawa anamalizia masomo yake chuo, maana siyo kwamba alikuwa hakupendi , bali alikuwa anajitunza na kuhakikisha kwamba anamalizia elimu yake vizuri kwaajili ya maisha yenu ya baadae kama unavyoona tayari amemaliza na elimu imempa kazi ,na sasa amekuja rasmi kutimiza ndoto zako za kuwa mke mwema wako. Yeye anaamini kuwa wewe ndiye mumewe wa maisha yake, na ndiyo maana yupo tayari kukupa kila unachotaka au kinachohitajika katika maisha yenu.
Mfikirie mara mbili, usijejuta baadae.
Alikuwa anaanda maisha yenu.
Yangu ni hayo tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama angenipa jibu hilo mwanzoni ningemuelewa na kumvumilia lakini aliniambia hanitaki na haitakaa itokee nimpate, mimi simfai na ana mtu wake anayempenda kwa dhati maneno haya alitamka mara nyingi sana. Lakini alivyorudi akaniambia hakuwaga na mtu na mimi nikamwambia nina mtu lakini bado hatujaoana ndo akaanza fighting za kumuovertake niliyenaye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama angenipa jibu hilo mwanzoni ningemuelewa na kumvumilia lakini aliniambia hanitaki na haitakaa itokee nimpate, mimi simfai na ana mtu wake anayempenda kwa dhati maneno haya alitamka mara nyingi sana. Lakini alivyorudi akaniambia hakuwaga na mtu na mimi nikamwambia nina mtu lakini bado hatujaoana ndo akaanza fighting za kumuovertake niliyenaye.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, basi angalia huyo uliyenaye sasa na yeye soma mioyo yao kwa undani kitabia ikikupendeza moyoni mwako oa mmoja wapo .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hao wanaoleta hadi mshahara hawawezi kuniletea na mimi jamani? mie napenda sana loooh
ningekuwa wa kiume ningeomba aje kwangu

teh teh
 
Hajui tu masikini kuna mwanaume mahali flani ambae atampenda kwa dhati kuliko kukung'ang'ania wewe.
halafu nashangaa anamng'ang'ania wa nini na kujitosa hivyo? eti mshahara wote na kiwanja anunue? over my dead body, I will not dare even think of that stupidity things

loooh Mungu nisaidie tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom