jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,584
sawa nimekusikia mkuuTena huwache mapema sana, tutafute vya kwetu
Upendo ni tiba.
sawa nimekusikia mkuuTena huwache mapema sana, tutafute vya kwetu
Upendo ni tiba.
Excellent
Upendo ni tiba.[/QUOT
zenk you
Wewe haupo kwenye kundi hilo ?Hivi kuna wanawake bado wanang'ang'aniaga wanaume siku hizi......
Wewe haupo kwenye kundi hilo ?
Upendo ni tiba.
Kile ambacho wewe hunaSina muda wa kumng'ang'ania mwanaume, anakuwa na nini kwa mfano almas au
Sio uvumilivu huo tunaita utegemezi wa kihisia. Yaani hana guts za ku break up na huyo mwanaume kwa sababu hiokweli wanawake ni wavumilivu yaani mchumba wako amegundua unachepuka, amefamyiwa fujo na huyo mchepuko wako still yuko na wewe anasubiria ndoa
Haswaa nashukuru kama na wewe umeonaHuyo binti sio kwamba anakupenda sana ila anahamu na ndoa kuona wenzake wameolewa yeye ataolewa na nani so muache tu aende zake atapata wake mbele kwa mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Najitahidi kukata mawasiliano sema anajileta nyumbani make anapajua yaani ni king'ang'anizi hatareeAkikupigia simu usipokee.
Akikutumia msg usimjibu.
Akipanga kuonana usiende.
Akikupa zawadi usipokee
Hakuna mapenzi kama hakuna mawasiliano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo kama huyo na wapo wengi tu nchi hiiHivi kuna wanawake bado wanang'ang'aniaga wanaume siku hizi......
Na tamaa ya pesa nayo ni mbayaaaa ukute anakubali vile binti anampa mielaUliyataka mwnyw tafuta jinsi ya kuyamaliza
Halaf mwanaume kama humtaki mwanamke hawezi kukulazimisha