technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,672
- 58,624
Wakati naenda makumbusho Leo nimekutana na mtu mmoja amvaa baragashia akasema
'Wanamtandao wanatanduana ni mnyukano Kati Yao
Akanidokeza kuwa waziri mkuu ajaye ni Mchengerwa soon as possible.
Aisee nimecheka baada ya kulia
'Wanamtandao wanatanduana ni mnyukano Kati Yao
Akanidokeza kuwa waziri mkuu ajaye ni Mchengerwa soon as possible.
Aisee nimecheka baada ya kulia