Tetesi: Mchengerwa kuwa waziri mkuu

Tetesi: Mchengerwa kuwa waziri mkuu

Nilisema toka siku ya Uteuzi wa Nchemba...hafiki popote..ni suala la Muda tu..
Waziri Mkuu mwenye kuwekeza kujijenga Kisiasa binafsi na Uchama Tawala badala ya kuunganisha Taifa!!!?? Ni ujuha wa CCM..acha waumane
Tena naomba hicho kinachosemwa kitokee haraka sana.
Simpendi Mwigulu wala huyo Mchengwela.
Ila natamani Mwigulu atolewe ili akili zikae sawa.
Ndio atakua kwamba umoja wa wahalifu hua haudumu.
 
Back
Top Bottom