Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 8,508
- 15,090
Mbn pm atakaa muda mfupi sana
madelu akaunganishe nguvu na kina Katelephone na kina Mpango na Nchimbi ... wafanye jamboAnguko la CCM hili hapa
Hawana hela team Msoga point 3madelu akaunganishe nguvu na kina Katelephone na kina Mpango na Nchimbi ... wafanye jambo
Tena naomba hicho kinachosemwa kitokee haraka sana.Nilisema toka siku ya Uteuzi wa Nchemba...hafiki popote..ni suala la Muda tu..
Waziri Mkuu mwenye kuwekeza kujijenga Kisiasa binafsi na Uchama Tawala badala ya kuunganisha Taifa!!!?? Ni ujuha wa CCM..acha waumane