Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,157
Mchawi ni mtu mshenzi, hapaswi kuwepo kwenye jamii ya watu wastaarabu. Uchawi dhima yake kuu ni wivu.
Anaweza akawa na duka kubwa la vifaa vya ujenzi akapanga wateja kutwakutwa lakini akapandwa na pepo la wivu (uchawi) juu ya mtu anayeuza mihogo ya kukaangwa pembeni yake eti kisa Jamaa anauza sana mihogo.
Anamtoa roho au anampa ulemavu ili ateseke.Mchawi akikomaa sana anaanza kuchukia mafanikio hata ya mtoto wake wa kumzaa. Kuwa makini kazini, mtaani, kwenye biashara n.k. Mimi naongea kitu ambacho nakifahamu.
Kwenye ukoo wetu ukiinuka tu kazi unayo, utapatwa na matatizo mpaka unyooke. Kuna ndugu yetu kavurugwa na mchawi kapigika si mchezo, anadhurula tu hapa Dar. Anataka kuuza site yake ambayo kaanza kujenga hapati mteja. Kila akishusha bei wapi.
Wewe chukulia poa ipo siku utafanywa kafara na ndugu yako wa damu.
Anaweza akawa na duka kubwa la vifaa vya ujenzi akapanga wateja kutwakutwa lakini akapandwa na pepo la wivu (uchawi) juu ya mtu anayeuza mihogo ya kukaangwa pembeni yake eti kisa Jamaa anauza sana mihogo.
Anamtoa roho au anampa ulemavu ili ateseke.Mchawi akikomaa sana anaanza kuchukia mafanikio hata ya mtoto wake wa kumzaa. Kuwa makini kazini, mtaani, kwenye biashara n.k. Mimi naongea kitu ambacho nakifahamu.
Kwenye ukoo wetu ukiinuka tu kazi unayo, utapatwa na matatizo mpaka unyooke. Kuna ndugu yetu kavurugwa na mchawi kapigika si mchezo, anadhurula tu hapa Dar. Anataka kuuza site yake ambayo kaanza kujenga hapati mteja. Kila akishusha bei wapi.
Wewe chukulia poa ipo siku utafanywa kafara na ndugu yako wa damu.