Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,864
- 27,680
Akriiii.....nimeingia nipo hapa.../ ewe mwanadamu nini tatizo lako...lako...lako....lako?...chafya chafya chafya.....pyuuuuu..../
hakuna wakati ulikuwa bila na nguvu za Mungu.Hili tangazo kwa sasa haliwezi kufanya kazi kwa kuwa Nguvu za Mungu zipo
Maombi ya mzee wa upako wewe huyaogopi?Nipe dili baba usiogope maombi, yani wakiomba ndowanaongeza nguvu ya Kazi
mbishi.d asante sana hao jamaa wa Ludewa kweli watafaa. Hivi Lizaboni na Wakudadavuwa hakuna mahali mnajua kuna watu wanaoweza kunisaidia. Nicholas huko Arusha hakuna mtu anayeiweza hii shughuli? Ningependa FaizaFoxy kama kuna watu wale wataalum wa kufuga majini uniunganishe nao ama kama unawafahamu wa mlingotini au kaole kule Bagamoyo utanielekeza.
Amloge. Kwani wewe unadhani kulogwa ni jambo hasi peke yake hata jambo chanya pia kulogwa kupo!! Wewe hujasikia watu wanasema kuwa uchawi wa mwanamke ni sauti yake? Sasa wanawake hutumia sauti zao kwa jambo baya peke yake?Amrogeee au amtibu?!!! Mbona hujui kutofautisha!!!
Saidia Ambiere!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] nilijua tu sitasalimika kwenye hii post
Aah sitaki jakamoyo mieSaidia Ambiere!!
Teh teh teh![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] nilijua tu sitasalimika kwenye hii post
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji115] watu siku hizi wanapotea kimyakimyaTeh teh teh!
Kuwafahamu siyo kosa mkuu, kushiriki shughuli zao za kichawi ndio inaweza kuleta ukakasi wa kimaadili.
Naamini hata kuwapa kazi ya kufanya kwa niaba yao wenyewe haiwezi kuwa kosa kiiiivyo!!! Ukizingatia aina ya ugonjwa wa mgonjwa aliyeripotiwa na mleta uzi.
Maana bado inabaki palepale. Kuroga ni kuathiri kitu/mtu mzima,kutibu ni kuondoa tatizoAmloge. Kwani wewe unadhani kulogwa ni jambo hasi peke yake hata jambo chanya pia kulogwa kupo!! Wewe hujasikia watu wanasema kuwa uchawi wa mwanamke ni sauti yake? Sasa wanawake hutumia sauti zao kwa jambo baya peke yake?
Lupyeee naomba uje unisaidie natafuta mchawi!!