Ciprofloxacin.
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,583
- 2,702
Wana jamvi salaam! Alfajiri hii limetokea tukio la kusisimua ile mbaya kwa jirani yangu,alipata mgeni tangu wiki sasa akitokea Dar akaja hapa kahama kumtembelea ndugu yake (jirani yangu) .
Tangu amewasili huyo kijana nilikuwa nasikia mara nyingi akisali hasa nyakati za usiku wa manane maana sauti inapaa sana,kama kawaida ya wachawi wao kila wakiona mgeni lazima wamjaribu sasa leo wamekiona cha moto.
Tukiwa tumelala tukasikia kelele za kuomba msaada,kutoka nje nikamkuta jirani yangu yupo na mgeni wake pamoja na watu wengine wamemzunguka binti mdogo asiyezidi miaka 25,usoni na mwili mzima kajipaka dawa nyeusi na yupo uchi wa mnyama na ana usinga.
Mgeni wa jirani yangu anasimulia kabla hajalala aliomba na kuizungushia nyumba damu ya Yesu,(ktk ulimwengu wa roho)anadai akiwa amelala alishtuka anavutwa sikio na mtu asiyemuona akakemea kwa jina la Yesu ndipo akasikia kishindo cha mtu kuanguaka.
Binti huyo anadai katoka Bariadi na wenzake wamekimbia,nimezuiliwa kupiga picha maana mtendaji wa kijiji kaja hapa.
Tangu amewasili huyo kijana nilikuwa nasikia mara nyingi akisali hasa nyakati za usiku wa manane maana sauti inapaa sana,kama kawaida ya wachawi wao kila wakiona mgeni lazima wamjaribu sasa leo wamekiona cha moto.
Tukiwa tumelala tukasikia kelele za kuomba msaada,kutoka nje nikamkuta jirani yangu yupo na mgeni wake pamoja na watu wengine wamemzunguka binti mdogo asiyezidi miaka 25,usoni na mwili mzima kajipaka dawa nyeusi na yupo uchi wa mnyama na ana usinga.
Mgeni wa jirani yangu anasimulia kabla hajalala aliomba na kuizungushia nyumba damu ya Yesu,(ktk ulimwengu wa roho)anadai akiwa amelala alishtuka anavutwa sikio na mtu asiyemuona akakemea kwa jina la Yesu ndipo akasikia kishindo cha mtu kuanguaka.
Binti huyo anadai katoka Bariadi na wenzake wamekimbia,nimezuiliwa kupiga picha maana mtendaji wa kijiji kaja hapa.