Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,190
- 1,780
hata bila picha, huo ndio uwezo na mamlala ya Yesu Kristo aliowaacha wanadamu wote watakaomwamini. mambo hayo yanawezekana kabsa kwa Mungu Na Kwake Aaminiye. Izo Ndizo Faida Za Wokovu.
Sasa Ni Wkt Wako Wewe Kijana, Na Binti Kuingia Ndani Ya Familia Ya Bwana Yesu, Ili Tukiwa Wengi Tuone Hao Wachawi Watakaa Wapi.
Kwa Ushauri, Maombezi Au Unataka Kuokoka. Piga Cm 0786100772, 0673100772, 0757856336.
Kekundu kekunduuu, kekunduuuuuuu...acha utapeli wewe