Mchawi aingia choo cha kike kwa Mlokole

Mchawi aingia choo cha kike kwa Mlokole

Yaani mkuu acha tu,japokuwa kalikuwa kamejipaka dawa nyeusi hadi usoni ila bado kanaonekana karembo tu,halafu kana shepu nzuri kameumbika aisee,wamekachukua na kukapeleka kwenye ofisi ya mtendaji.

Halafu wakakafungia Ofisini au siyo???,halafu mtendaji peke yake ndo mwenye funguo,afadhari km mtendaji huyo ni Mwanamke lkn km ni Mwanamume Kachawi hako katakuwa kaliliwa tigo.
 
Haleluya, sifa na utukufu ni kwa bwana wetu yesu kristo aliye mwokozi na tumaini letu. Hakika kila amwaminiye yu na uzima wa milele. Tubu sasa na uokoke kutokana utumwani(kila mtenda dhambi ni mtumwa wa ibilisi)
 
Mwenzako nimeamini 100% wala sina haja na picha kwasababu najua nguvu ya damu ya Yesu ni kubwa kuliko nguvu za wacawi na vigagula.


Kudadeki Mkuu Ciprofloxacin Hadithi ya kutunga hii hatuwezi kuiaminimpaka upige pichatupate kuziona
 
Ha ha ha, story inasema mchawi ni under 25, Bujibuji akasema eti ni under 20. Hapo nilikuwa namkumbusha tu.

Ila mdau katunyima utam wa story kwa kutopiga picha


. 😁😂😂😂😂😂😂😂😂😂 huyu buji mwenyewe hata sijui ni me ama ke
 
Last edited by a moderator:
Yaani mkuu acha tu,japokuwa kalikuwa kamejipaka dawa nyeusi hadi usoni ila bado kanaonekana karembo tu,halafu kana shepu nzuri kameumbika aisee,wamekachukua na kukapeleka kwenye ofisi ya mtendaji.

mkuu ungeomba ukakahoji pekeako nyuma ya boma upate japo silent kisi....nakapicha kaushahidi aisee
 
Mtu mmoja juzi kati alisema; Usipoweza kumtetea Mtume wako hufai. Miye nataka nimtetee Mtume wangu, Yesu Kristo. Jamani, chezeni na kila neno, chezeni na kila Jina, ila hili jina la Yesu Kristo. Kiacheni likae lenyewe. Halina haja ya kutamkwa jata katika upuuzi.
Ulipoandika tu ati; Mlokole alikuwa ameuzungushia sijui damu ya Yesu nyumba.... nkajua tiyari hii ni fix. Damu ya Yesu haikumwagika pale msalabani Kalvari ili kuzingirishia nyumba. Ntakukatalia mpaka ukataliwe. Haiko hivyo. Damu ilimwagika ili kuniosha dhambi zangu na kukuosha weye dhambi zako. Ilitulipia deni yetu ya dhambi. Haikutununulia mabati au nyasi za kujengea TAFADHALI. Tafuta fix nyingine. Ndo maana walipokuambia lete angalao KAPICHA tu. Ukakosa kwa kuwa hizi ni fix. Tumia jina la mjombako yule mganga wa kienyeji, manyaunyau na dawa yake ya unga anatosha kushika hao waganga, wala si DAMU YA YESU.

Uelewa wako ktk mambo ya kiroho na kazi za Yesu ni mdogo sana, damu ya Yesu si ktk kusafisha dhambi tu, bali ktk uponyaji na nguvu za kutoa mapepo na kuponya magonjwa ikiwa ni pamoja na kusafisha kila aina ya uovu.
Halafu utambue kuwa, Yesu hakuwahi kuwa mtume, mtume ni Mohammed S.A.W, Bible inamtaja Yesu kama mwana wa Mungu, sina haja ya kukutajia vifungu ktk Bible. katafute mwenyewe.
Unaweza kusema ',Wewe pepo nakuamuru kwa damu ya Yesu utoke, na pepo litatii amri na kutoka, lakini huwezi kulitoa pepo kwa damu ya Mohammed wala jina lake likaogopa, ni damu ya Yesu au jina lake tu kote duniani.
unavyokomaa eti ni story ya uongo wewe ulikuwepo? au nikiandika story nalipwa? jaribu kujitambua.
 
Back
Top Bottom