kamanda wa makamanda
JF-Expert Member
- Aug 21, 2015
- 633
- 498
piga picha hata huo mkusanyiko tuuone, nataka Nipate porojo ya kuanzia ofisini asubuhi hii
hahaahahaha
piga picha hata huo mkusanyiko tuuone, nataka Nipate porojo ya kuanzia ofisini asubuhi hii
Naona watu wamekalili kila mchawi anayeenda kuwanga lazima awe uchi hamjui kama siku hizi ktk ulimwengu huo mambo yamebadilika ila kiujumla hiyo story inaonekana ni ya uongo kwani si kila mchawi anapaka kiapo yani huo unga mweusi unaousema ila kwa vile kila story ya mchawi lazima upate neno kuwa alikuwa uchi au alipaka masizi ambao ktk ulimwengu wa uchawi tunaita kiapo nawe umeona utuletee hiyo hadithi
Yaani mkuu acha tu,japokuwa kalikuwa kamejipaka dawa nyeusi hadi usoni ila bado kanaonekana karembo tu,halafu kana shepu nzuri kameumbika aisee,wamekachukua na kukapeleka kwenye ofisi ya mtendaji.
Hodari kweli kweli Tetetes i Magufuli ana mpango wa kufunga CCTV kwa wapiga porojo mahofisini..
wala hujakosea Yesu alitupika pale msalabani alipotangaza imekwisha maana hata uhai wetu umefichwa mbali Kristo alipo. MPE Yesu maisha yako leo ili uwe miongoni mwao!!Fiksi hizi, mlokole nae amepikwa...
Kachawi under 20 sipatii picha hizo Chuchu kudadadeki zake.
wala hujakosea Yesu alitupika pale msalabani alipotangaza imekwisha maana hata uhai wetu umefichwa mbali Kristo alipo. MPE Yesu maisha yako leo ili uwe miongoni mwao!!
Naona watu wamekalili kila mchawi anayeenda kuwanga lazima awe uchi hamjui kama siku hizi ktk ulimwengu huo mambo yamebadilika ila kiujumla hiyo story inaonekana ni ya uongo kwani si kila mchawi anapaka kiapo yani huo unga mweusi unaousema ila kwa vile kila story ya mchawi lazima upate neno kuwa alikuwa uchi au alipaka masizi ambao ktk ulimwengu wa uchawi tunaita kiapo nawe umeona utuletee hiyo hadithi
Pole sana ndugu yangu! Naona hujui nguvu na mamlaka ya jina la Yesu,hilo jina ni mziki mnene,mapepo,wachawi ukilitaja tu wanaungua vibaya,usiandikie mate na wino upo,hebu jaribu uje uone!
piga picha hata huo mkusanyiko tuuone, nataka Nipate porojo ya kuanzia ofisini asubuhi hii
Kachawi under 20 sipatii picha hizo Chuchu kudadadeki zake.
Buji ni under 25 siyo 20.
yaani wewe kijana sijui mvulana una visaaa:eek2:
Mambo flora,
Wana jamvi salaam! Alfajiri hii limetokea tukio la kusisimua ile mbaya kwa jirani yangu,alipata mgeni tangu wiki sasa akitokea Dar akaja hapa kahama kumtembelea ndugu yake (jirani yangu) .
Tangu amewasili huyo kijana nilikuwa nasikia mara nyingi akisali hasa nyakati za usiku wa manane maana sauti inapaa sana,kama kawaida ya wachawi wao kila wakiona mgeni lazima wamjaribu sasa leo wamekiona cha moto.
Tukiwa tumelala tukasikia kelele za kuomba msaada,kutoka nje nikamkuta jirani yangu yupo na mgeni wake pamoja na watu wengine wamemzunguka binti mdogo asiyezidi miaka 25,usoni na mwili mzima kajipaka dawa nyeusi na yupo uchi wa mnyama na ana usinga.
Mgeni wa jirani yangu anasimulia kabla hajalala aliomba na kuizungushia nyumba damu ya Yesu,(ktk ulimwengu wa roho)anadai akiwa amelala alishtuka anavutwa sikio na mtu asiyemuona akakemea kwa jina la Yesu ndipo akasikia kishindo cha mtu kuanguaka.
Binti huyo anadai katoka Bariadi na wenzake wamekimbia,nimezuiliwa kupiga picha maana mtendaji wa kijiji kaja hapa.
Mambo flora,