Mchawi aingia choo cha kike kwa Mlokole

Mchawi aingia choo cha kike kwa Mlokole

Naona watu wamekalili kila mchawi anayeenda kuwanga lazima awe uchi hamjui kama siku hizi ktk ulimwengu huo mambo yamebadilika ila kiujumla hiyo story inaonekana ni ya uongo kwani si kila mchawi anapaka kiapo yani huo unga mweusi unaousema ila kwa vile kila story ya mchawi lazima upate neno kuwa alikuwa uchi au alipaka masizi ambao ktk ulimwengu wa uchawi tunaita kiapo nawe umeona utuletee hiyo hadithi

Mkuu hii habari hujalipia ili kuisoma, kwa hiyo si lazima ukaamini.
 
Yaani mkuu acha tu,japokuwa kalikuwa kamejipaka dawa nyeusi hadi usoni ila bado kanaonekana karembo tu,halafu kana shepu nzuri kameumbika aisee,wamekachukua na kukapeleka kwenye ofisi ya mtendaji.

....hako kaogesheni mkapige mtungo hadi jicho!
 
Fiksi hizi, mlokole nae amepikwa...
wala hujakosea Yesu alitupika pale msalabani alipotangaza imekwisha maana hata uhai wetu umefichwa mbali Kristo alipo. MPE Yesu maisha yako leo ili uwe miongoni mwao!!
 
Ni kweli haya mambo yapo! kuna mtu mmoja alikuwa mchawi akafanikiwa kuacha. Anasema mchawi akijaribu kupita karibu na kanisani, au panapofanywa maombi....Lazima akione cha mtemakuni! Au akienda kwenye makaburi, kaburi hilo liwe alizikwa padre, mchungaji au watu wenye haki mbele za Mungu, lazima ajitumbue jibu mwenyewe!
 
wala hujakosea Yesu alitupika pale msalabani alipotangaza imekwisha maana hata uhai wetu umefichwa mbali Kristo alipo. MPE Yesu maisha yako leo ili uwe miongoni mwao!!

Nilishampa, nimeona haina maana nimeyarudisha kwa mizimu yangu. Inatenda kuliko yeye... Na wewe rudi nyumbani, Mizimu ikuongoze!
 
Naona watu wamekalili kila mchawi anayeenda kuwanga lazima awe uchi hamjui kama siku hizi ktk ulimwengu huo mambo yamebadilika ila kiujumla hiyo story inaonekana ni ya uongo kwani si kila mchawi anapaka kiapo yani huo unga mweusi unaousema ila kwa vile kila story ya mchawi lazima upate neno kuwa alikuwa uchi au alipaka masizi ambao ktk ulimwengu wa uchawi tunaita kiapo nawe umeona utuletee hiyo hadithi

Mkuu naanza kukutilia mashaka mkuu inaonekana unayajua sana hayo mambo??
(amani tuu)
 
Uongo kwenye tukio upo.peke yako tu lazma picha tungeziona kwenye mitandao
 
Pole sana ndugu yangu! Naona hujui nguvu na mamlaka ya jina la Yesu,hilo jina ni mziki mnene,mapepo,wachawi ukilitaja tu wanaungua vibaya,usiandikie mate na wino upo,hebu jaribu uje uone!

Amina kubwa ubarikiweeeeeeeeeee
 
Kachawi under 20 sipatii picha hizo Chuchu kudadadeki zake.

Wewe badala ya kutafakari nguvu iliyosababisha huyo mchawi kuishiwa nguvu na wewe utaipataje,
Unatafakari chuchu?

Inaonekana unamhitaji Yesu akubadilishe.
Hujachelewa anapatikana bure.
Ukimpata huyo wachawi hawakusumbui tena.
 
Wana jamvi salaam! Alfajiri hii limetokea tukio la kusisimua ile mbaya kwa jirani yangu,alipata mgeni tangu wiki sasa akitokea Dar akaja hapa kahama kumtembelea ndugu yake (jirani yangu) .

Tangu amewasili huyo kijana nilikuwa nasikia mara nyingi akisali hasa nyakati za usiku wa manane maana sauti inapaa sana,kama kawaida ya wachawi wao kila wakiona mgeni lazima wamjaribu sasa leo wamekiona cha moto.

Tukiwa tumelala tukasikia kelele za kuomba msaada,kutoka nje nikamkuta jirani yangu yupo na mgeni wake pamoja na watu wengine wamemzunguka binti mdogo asiyezidi miaka 25,usoni na mwili mzima kajipaka dawa nyeusi na yupo uchi wa mnyama na ana usinga.

Mgeni wa jirani yangu anasimulia kabla hajalala aliomba na kuizungushia nyumba damu ya Yesu,(ktk ulimwengu wa roho)anadai akiwa amelala alishtuka anavutwa sikio na mtu asiyemuona akakemea kwa jina la Yesu ndipo akasikia kishindo cha mtu kuanguaka.

Binti huyo anadai katoka Bariadi na wenzake wamekimbia,nimezuiliwa kupiga picha maana mtendaji wa kijiji kaja hapa.

wasukuma kwa maimani ya ajabu ajabu na fiksi hamuwezekani
 
yaani wewe kijana sijui mvulana una visaaa:eek2:

Ha ha ha, story inasema mchawi ni under 25, Bujibuji akasema eti ni under 20. Hapo nilikuwa namkumbusha tu.

Ila mdau katunyima utam wa story kwa kutopiga picha
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom