The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Kweli hakuna mwanasiasa msafi! huyu bwana mdogo mchange alikuwa wapi siku zote kuwatangazia watanzania wapenda amani kwamba wangwe aliuwawa na CDM? inawewezekana anachosema mchange ni ukweli mtupu ila ametumia sababu mbaya tu.
Hapo tu inaonesha kwamba wanasiasa wanaojidai ni watetezi wa wanyonge ni wachumia tumbo tu, wanaficha maovu ili kulinda maslahi yao, ikitokea wametibuliwa wanaanza kutoa walichokificha! huu ni unafki. Ila nashukuru bwana mchange kwa kufichua maovu kwa nia mbaya japo tumechelewa.
Hapo tu inaonesha kwamba wanasiasa wanaojidai ni watetezi wa wanyonge ni wachumia tumbo tu, wanaficha maovu ili kulinda maslahi yao, ikitokea wametibuliwa wanaanza kutoa walichokificha! huu ni unafki. Ila nashukuru bwana mchange kwa kufichua maovu kwa nia mbaya japo tumechelewa.