Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,094
topic imeanzishwa kipuuzi kuvuta nafsi za wapuuzi ""people should ignore it!""kumjibu huyu ni ujinga mtupu na ni upumbavu kwani hakujionea kwa macho!
Duh, kama hii ni kweli kuna hatari mbele yetu kama kila mtu ataachwa kuongea chochote ili mradi afurahishe kikundi fulani. Vyombo husika vichukue hatua kudhibiti maneno ya uchochezi kama haya.
Mchange ni kichaa msameheni bure
topic imeanzishwa kipuuzi kuvuta nafsi za wapuuzi ""people should ignore it!""kumjibu huyu ni ujinga mtupu na ni upumbavu kwani hakujionea kwa macho!
Mchange alikuwa wapi siku zote hadi aseme wakati huu? kumbe jamaa angepewa ulaji mzuri CDM haya tusingeyasikia.
Mchange vipi kuhusu kulipua ndege utajibu lini
Kama majembe yenu ndiyo akinamchange basi habari yenu kwisha kabisa.
Huyu ndio nani? Au unamaanisha Habiba Mchange?
uzuri wa mchange husema ukweli ambao hauna hata chenga suala la chacha wangwe chadema hawakwepi.
Yaani pamoja na mapovu ya jana headline leo zipo kwenye UHURU na JAMBO LEO tu hata habari leo hakuna...Oneni aibu basii.
lisu sio kichaa ila ni mwezi mchanga. anaugonjwa wa mtindio wa akili
Kwa nn police wasimhoji huyo mtu, maana amesema kwamba anajua na alishiriki kulipua mabomu huko arusha.
CCM Na CDM wote majanga tupu, hata Yule alieleta tuhuma kulipuliwa helkopota Dr. Slaa ananza na eti nilishawishiwa, alafu tunaambiwa eti huyu nae kiongozi wa watu huko kwao, mtu mwenye familia unasimama hadharani eti nilisawishiwa. Wanasiasa wa aina kuchunga hata ng'ombe.
Hata mimi nashangaa.....Hivi hawa waandishi wetu hata mwehu wanaemjua ni mwehu akiwaita, wataenda kumsikiliza?