chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
hili neno
Umeona sasa magazeti yote yamempuuza mchange isipokuwa Uhuru, Jambo leo na Mtanzania
hili neno
Mwenyewe huwa najiuliza the same question, yaani utoko km huu hao waandishi walifanya nini? Au ndo ile kijana wa kikwete riz1anasema ni makanjanja?
We hoja wala hauna,Sema ni mshabiki mzuri sana
Hawakwepi? Kivipi? "CHADEMA imekamatwa" kwa mauaji mkuu, au una maanisha kitu gani hapa?
Hebu tiririka uelekweke vizuri, au hii ni sweeping tu?
Kesi iko wapi? Imeanza kusikilizwa? Na kama iliisha,iliishaje?
I am just curius to know huyu CHADEMA muuaji wa Chacha Wangwe alikula mvua ngapi!!.
Umeona sasa magazeti yote yamempuuza mchange isipokuwa Uhuru, Jambo leo na Mtanzania
ila wewe binadam unaejiita lizabon ni binadam mjinga kupata kuwepo ktk dunia hii yaani kila mtu akimtukana slaa wewe kwako ni kiboko ya slaa.sasa haihitaji utafiti tena kwamba ukiwa mwana ccm unapungukiwa na uwezo wa kufikiri.poleni.sana ukiona taasisi yoyote inaendekeza waganga wa kienyeji kuendesha mambo yake madhara yake nikuwa wafuasi wa taasisi hiyo kuwa na watu wa aina yako.pole tena.Mchange ni kiboko ya Dr Slaa na Mbowe
Huyo habibu simpendi tuu maana kwa sehemu ana njaa ila
Kuhusu kuua Mbowe nimuuaji na karidhi kwa mzazi wake babake kwenye hilo nisawa na bado atawasumbua Sana na chadema hakuna wakumweza kamwe bado atasumbua Sana