Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

Nimemsikiliza Habibu mchange.
Amesema Chadema ndio waliomuua mwangosi anatoa sababu kuwa chadema waliwavalisha watu wao nguo za polisi.
kwanza kwa hapo naomba HABIB Mchange anijibu haya yafuatayo:

1.Je chadema wanamiliki combati za jeshi?
2.je RPC aliyekuwepo alikubali kuvalishwa kombati na chadema?
3.Je,Chadema wanamiliki silaha za moto?
4.Je serikali iliposema askali wake aliyehusika amepelekwa mahakamani,walosema uongo?
5.Je Rpc kamuhanda alikuwa anaamrisha vijana wa Chadema katika lile tukio?
6.Je,Chadema wana jeshi lao la police?
7.Je, Chadema walimuua mwangosi kwa sababu ya kuandika habari za mikutano yao?na je chadema hawapendi habari zao ziandikwe?

Naomba majibu kutoka kwa Mchange vinginevyo nadiriki kusema Habib mchange ameishiwa na anafaa ashitakiwe.

Habib mchange na wapambe wako tunaomba majibu.

Habari hii imepatikana ktk mahojiano ya Mchange na redio moja mjini Mwanza.

Hivi kuna mtu mwenye akili timamu hua ana,sikilazzaga huyu Looser?
Habari zake zitaandikwa na magazeti kama Jamba Leo, Uharo na mengine ya aina hiyo!!
 
Nimemsikiliza Habibu mchange.
Amesema Chadema ndio waliomuua mwangosi anatoa sababu kuwa chadema waliwavalisha watu wao nguo za polisi.
kwanza kwa hapo naomba HABIB Mchange anijibu haya yafuatayo:

1.Je chadema wanamiliki combati za jeshi?
2.je RPC aliyekuwepo alikubali kuvalishwa kombati na chadema?
3.Je,Chadema wanamiliki silaha za moto?
4.Je serikali iliposema askali wake aliyehusika amepelekwa mahakamani,walosema uongo?
5.Je Rpc kamuhanda alikuwa anaamrisha vijana wa Chadema katika lile tukio?
6.Je,Chadema wana jeshi lao la police?
7.Je, Chadema walimuua mwangosi kwa sababu ya kuandika habari za mikutano yao?na je chadema hawapendi habari zao ziandikwe?

Naomba majibu kutoka kwa Mchange vinginevyo nadiriki kusema Habib mchange ameishiwa na anafaa ashitakiwe.

Habib mchange na wapambe wako tunaomba majibu.

Habari hii imepatikana ktk mahojiano ya Mchange na redio moja mjini Mwanza.

Kaka hapa kuna vitu viwili ambavyo naweza kukusaidia :

1.Mchange yupo Conscious na matendo yake
2. Mchange amechanganyikiwa in such away ameweza kuropoka mambo ambayo hayapo.
3.Amelipwa kuyasema aliyoyasema
 
anadai alishirikiana na viongozi chadema kupanga na kutekeleza mauaji,ugaidi na mateso.
nashamhaa mpaka sasa hajakamatwa tu.
 
Nimemsikiliza Habibu mchange.
Amesema Chadema ndio waliomuua mwangosi anatoa sababu kuwa chadema waliwavalisha watu wao nguo za polisi.
kwanza kwa hapo naomba HABIB Mchange anijibu haya yafuatayo:

1.Je chadema wanamiliki combati za jeshi?
2.je RPC aliyekuwepo alikubali kuvalishwa kombati na chadema?
3.Je,Chadema wanamiliki silaha za moto?
4.Je serikali iliposema askali wake aliyehusika amepelekwa mahakamani,walosema uongo?
5.Je Rpc kamuhanda alikuwa anaamrisha vijana wa Chadema katika lile tukio?
6.Je,Chadema wana jeshi lao la police?
7.Je, Chadema walimuua mwangosi kwa sababu ya kuandika habari za mikutano yao?na je chadema hawapendi habari zao ziandikwe?

Naomba majibu kutoka kwa Mchange vinginevyo nadiriki kusema Habib mchange ameishiwa na anafaa ashitakiwe.

Habib mchange na wapambe wako tunaomba majibu.

Habari hii imepatikana ktk mahojiano ya Mchange na redio moja mjini Mwanza.

Mkuu, unapoteza muda wako, kwa maneno yake mwenyewe, Mchange amejidhihirisha ni kichaa, hana sababu ya kujibiwa na chama.
 
Last edited by a moderator:
Duh, kama hii ni kweli kuna hatari mbele yetu kama kila mtu ataachwa kuongea chochote ili mradi afurahishe kikundi fulani. Vyombo husika vichukue hatua kudhibiti maneno ya uchochezi kama haya.
 
Mchange alikuwa wapi siku zote hadi aseme wakati huu? kumbe jamaa angepewa ulaji mzuri CDM haya tusingeyasikia.
 
Back
Top Bottom