Chacha Willy
Senior Member
- Mar 30, 2014
- 103
- 36
Yaani pamoja na mapovu ya jana headline leo zipo kwenye UHURU na JAMBO LEO tu hata habari leo hakuna...Oneni aibu basii.
Kipindi kile madiwani wa chadema wale wa shinyanga wanatoa tuhuma kuwa naibu waziri masele na mchange walitaka kuilipua helkopta ya dr slaa ulitoa ushauri kama huu kwa vyombo vya dola?
Nikimnukuu IGP mangu" hizi ni siasa za chadema tu" kwa nini na mie nisiamini kuwa hizi ni siasa za ccm kipitia kuwadi wao mchange?
Huwezi kujua yote aliyoyasema kama ww sio mmoja wao,pili lile swala la mwangosi hata kama kipofu unaweza jua kbs ni nani aliyehusika na yale maauaji,na kama viongozo wa juu wa cdm wanahusika hadi leo tusingekuwa nao uraiani kwani wametafutwa sana kwa kesi mbali mbali na zote za kutunga ndiyo maana wanazishinda,tutumieni akili zetu kwa manufaa ya Taifa letu,kuliko kuwatumia hawa wasaliti kuhamisha mijadala ya kitaifa kihuni kihuni tu
Madai aliyoyatoa Mosses Machange juu ya Viongozi wa ngazi za juu ndani ya Chadema, yachukuliwe kama Usaliti wa kazi walizokuwa wakizifanya ndani ya Chadema? Vyombo vya habari vimeripoti sana taarifa yake ya PRESS COMFERENCE juu ya tuhuma za Mauaji.
Taarifa za mauaji haya ya kutisha, ni zaidi ya SIASA, si vema kuchukuliwa kuwa ni siasa bali ni vema taarifa hii ikafanyiwa UCHUNGUZI na wahusika kufikishwa kwenye vyombo vya SHERIA kujibu tuhuma. INGEKUWA NI MTU WA KAWAIDA KATOA TAARIFA HIZO, ANGEKUWA MAHALI SASAHIVI. Hii taarifa ni zaidi ya siasa, ina dalili kubwa sana ya ukweli.
Nyakati za mwisho watu hutubu kwa kujutia walioshiriki kuyafanya.
Kina MBOWE, MNYIKA, SLAA,LEMA, LISSU, si mara ya kwanza kuhusishwa na mauaji, WAKAMATWE. Hakuna aliye juu ya Sheria.
Serikali ichukulie jambo hili kuwa la dharura ili kukomesha mitandao ya UGAIDI na MAUAJI humu nchini ambao wanastawi kupitia kivuli cha Siasa. Taarifa iliyotolewa haipaswi kujadiliwa kwenye Thread moja maana ni pana sana, kwa watu wenye ubinadamu walichukulie jambo hili Serious.
Nategemea kuona Wanasheria na Watetezi wa haki za Binadamu humu Nchini kuandaa Makongamano kupitia ITV, STARTV, kama yale ya katiba katika kutetea haki za binadamu.
according to Mchange na yeye alikuwa jikoni, alikuwa mpishi,alishiriki kuchochea kuni, Ni kitanda tusichokilalia ila yeye kesha lala anafahamu wanavyouma, Ni Sawa na Shibuda yupo ndani ila bado anatenda na sawa alikotoka-hivi leo Shibuda akiongea yaliyomo CCM kwa sura ya ubaya tutamnanga?, Ni mawazo yangu tu, japo ya Daudi Mwangosi Ni zaidi ya habari
Madai aliyoyatoa Mosses Machange juu ya Viongozi wa ngazi za juu ndani ya Chadema, yachukuliwe kama Usaliti wa kazi walizokuwa wakizifanya ndani ya Chadema? Vyombo vya habari vimeripoti sana taarifa yake ya PRESS COMFERENCE juu ya tuhuma za Mauaji.
Taarifa za mauaji haya ya kutisha, ni zaidi ya SIASA, si vema kuchukuliwa kuwa ni siasa bali ni vema taarifa hii ikafanyiwa UCHUNGUZI na wahusika kufikishwa kwenye vyombo vya SHERIA kujibu tuhuma. INGEKUWA NI MTU WA KAWAIDA KATOA TAARIFA HIZO, ANGEKUWA MAHALI SASAHIVI. Hii taarifa ni zaidi ya siasa, ina dalili kubwa sana ya ukweli.
Nyakati za mwisho watu hutubu kwa kujutia walioshiriki kuyafanya.
Kina MBOWE, MNYIKA, SLAA,LEMA, LISSU, si mara ya kwanza kuhusishwa na mauaji, WAKAMATWE. Hakuna aliye juu ya Sheria.
Serikali ichukulie jambo hili kuwa la dharura ili kukomesha mitandao ya UGAIDI na MAUAJI humu nchini ambao wanastawi kupitia kivuli cha Siasa. Taarifa iliyotolewa haipaswi kujadiliwa kwenye Thread moja maana ni pana sana, kwa watu wenye ubinadamu walichukulie jambo hili Serious.
Nategemea kuona Wanasheria na Watetezi wa haki za Binadamu humu Nchini kuandaa Makongamano kupitia ITV, STARTV, kama yale ya katiba katika kutetea haki za binadamu.
mlimtibua wenyewe sasa yamewatokea puan
Waandishi wa habari kuwaita wakusikie mpaka ukidhi vigezo gani jamani, msaada.... Pasco
hapo alipoharibu mchange,,,eti cdm ndyo waliomwua mwadishi,sasa hapo kwenye picha kuna cdm?akadanganye chekechekea nasikuhz hata chekechea wajanja hawadanganyiki sijui atampata nani?nyau kabisa shamba boy wa zito