Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

Siku zote chanzo cha habari huwa kinafichwa kwa ajiri ya ushahidi,sasa chanzo hiki kiko wazi kwa nini kisikamatwa ili kufanikisha kukamatwa kwa kina mbowe,slaa lissu na mnyika wanaowindwa kwa udi na uvumba?

Leo mchange amekuwa mtu wakulinasua jeshi la police kwenye tuhuma za maauji ya mwangosi? "Hili swala la mwangosi ungetumia akili yako ukalitoa ili issue yako mr mchange iwe na uhalisi walau wa hisia,sasa umeliweka la mwangosi kwa kufuata ushauri wa jamaa yako ndiyo limeharibu hadithi yako yote"

Nikiulizwa nimejifunza nini kutokana na hii hadith yako nitajibu"siasa chafu"
 
Kipindi kile madiwani wa chadema wale wa shinyanga wanatoa tuhuma kuwa naibu waziri masele na mchange walitaka kuilipua helkopta ya dr slaa ulitoa ushauri kama huu kwa vyombo vya dola?

Nikimnukuu IGP mangu" hizi ni siasa za chadema tu" kwa nini na mie nisiamini kuwa hizi ni siasa za ccm kipitia kuwadi wao mchange?

Huwezi kujua yote aliyoyasema kama ww sio mmoja wao,pili lile swala la mwangosi hata kama kipofu unaweza jua kbs ni nani aliyehusika na yale maauaji,na kama viongozo wa juu wa cdm wanahusika hadi leo tusingekuwa nao uraiani kwani wametafutwa sana kwa kesi mbali mbali na zote za kutunga ndiyo maana wanazishinda,tutumieni akili zetu kwa manufaa ya Taifa letu,kuliko kuwatumia hawa wasaliti kuhamisha mijadala ya kitaifa kihuni kihuni tu

ww mburura wamekuvuruga nn? tumia akil unapoandika jambo usiwe km vilaza wa ccm.
 
Pumbavu kabisa ccm na mapandiki yao.....ila mwisho ubaya AIBU nasubiri mwiosho wa wasaliti

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Madai aliyoyatoa Mosses Machange juu ya Viongozi wa ngazi za juu ndani ya Chadema, yachukuliwe kama Usaliti wa kazi walizokuwa wakizifanya ndani ya Chadema? Vyombo vya habari vimeripoti sana taarifa yake ya PRESS COMFERENCE juu ya tuhuma za Mauaji.

Taarifa za mauaji haya ya kutisha, ni zaidi ya SIASA, si vema kuchukuliwa kuwa ni siasa bali ni vema taarifa hii ikafanyiwa UCHUNGUZI na wahusika kufikishwa kwenye vyombo vya SHERIA kujibu tuhuma. INGEKUWA NI MTU WA KAWAIDA KATOA TAARIFA HIZO, ANGEKUWA MAHALI SASAHIVI. Hii taarifa ni zaidi ya siasa, ina dalili kubwa sana ya ukweli.
Nyakati za mwisho watu hutubu kwa kujutia walioshiriki kuyafanya.
Kina MBOWE, MNYIKA, SLAA,LEMA, LISSU, si mara ya kwanza kuhusishwa na mauaji, WAKAMATWE. Hakuna aliye juu ya Sheria.

Serikali ichukulie jambo hili kuwa la dharura ili kukomesha mitandao ya UGAIDI na MAUAJI humu nchini ambao wanastawi kupitia kivuli cha Siasa. Taarifa iliyotolewa haipaswi kujadiliwa kwenye Thread moja maana ni pana sana, kwa watu wenye ubinadamu walichukulie jambo hili Serious.
Nategemea kuona Wanasheria na Watetezi wa haki za Binadamu humu Nchini kuandaa Makongamano kupitia ITV, STARTV, kama yale ya katiba katika kutetea haki za binadamu.

Mkuu, vyombo vya habari vipi vilivyoripoti? Hivi sasa nipo kwenye meza za magazeti naona habari imeandikwa na UHURU tu na gazeti langu la JAMBA LEO. Tv ipi ilirusha ule uharo wa Habiba Mchange?
 
Last edited by a moderator:
daudi-mwangosi.jpg

hapo alipoharibu mchange,,,eti cdm ndyo waliomwua mwadishi,sasa hapo kwenye picha kuna cdm?akadanganye chekechekea nasikuhz hata chekechea wajanja hawadanganyiki sijui atampata nani?nyau kabisa shamba boy wa zito
 
according to Mchange na yeye alikuwa jikoni, alikuwa mpishi,alishiriki kuchochea kuni, Ni kitanda tusichokilalia ila yeye kesha lala anafahamu wanavyouma, Ni Sawa na Shibuda yupo ndani ila bado anatenda na sawa alikotoka-hivi leo Shibuda akiongea yaliyomo CCM kwa sura ya ubaya tutamnanga?, Ni mawazo yangu tu, japo ya Daudi Mwangosi Ni zaidi ya habari

la Daudi Mwgosi limepunguza credit zote za tamko hili,
ndo kwanza imezidi kufanya niamini hii ni propaganda ya kitoto mno.
Je Mchange yuko tayari kuhojiwa kuhusu kifo cha Daudi Mwagosi?
 
kwa taarifa na propaganda dhaifu na za kipuuzi namna hiyo nmeamini nachema ni chama safi na salama.
 
kwa taarifa na propaganda dhaifu na za kipuuzi namna hiyo nmeamini chadema ni chama safi na salama.
 
Madai aliyoyatoa Mosses Machange juu ya Viongozi wa ngazi za juu ndani ya Chadema, yachukuliwe kama Usaliti wa kazi walizokuwa wakizifanya ndani ya Chadema? Vyombo vya habari vimeripoti sana taarifa yake ya PRESS COMFERENCE juu ya tuhuma za Mauaji.

Taarifa za mauaji haya ya kutisha, ni zaidi ya SIASA, si vema kuchukuliwa kuwa ni siasa bali ni vema taarifa hii ikafanyiwa UCHUNGUZI na wahusika kufikishwa kwenye vyombo vya SHERIA kujibu tuhuma. INGEKUWA NI MTU WA KAWAIDA KATOA TAARIFA HIZO, ANGEKUWA MAHALI SASAHIVI. Hii taarifa ni zaidi ya siasa, ina dalili kubwa sana ya ukweli.
Nyakati za mwisho watu hutubu kwa kujutia walioshiriki kuyafanya.
Kina MBOWE, MNYIKA, SLAA,LEMA, LISSU, si mara ya kwanza kuhusishwa na mauaji, WAKAMATWE. Hakuna aliye juu ya Sheria.

Serikali ichukulie jambo hili kuwa la dharura ili kukomesha mitandao ya UGAIDI na MAUAJI humu nchini ambao wanastawi kupitia kivuli cha Siasa. Taarifa iliyotolewa haipaswi kujadiliwa kwenye Thread moja maana ni pana sana, kwa watu wenye ubinadamu walichukulie jambo hili Serious.
Nategemea kuona Wanasheria na Watetezi wa haki za Binadamu humu Nchini kuandaa Makongamano kupitia ITV, STARTV, kama yale ya katiba katika kutetea haki za binadamu.

Akili ya gari la diesel; unasahau kwamba sheria inakata pande zote; kwa nini hukupaza sauti wakati madiwani walipomtuhumu Nape, Mwigulu, Maselle na huyo machange wako?! ni kipi kinachofanya tuhuma za machange ziwe na uzito kuliko za wale madiwani? unatia aibu.
umesahau mabomu ya arusha; uchunguzi uko wapi, au ni hadithi ya mkuki kwa nguruwe? wakituhumiwa magamba sio kitu, tunyamaze, wakituhumiwa wapinzani; unaropoka wakamatwe unasahau kwamba alietangulia kutuhumiwa ndiye anastahili kukamatwa kujibu tuhuma; sishangai unaonyesha una akili ya njia moja na huwezi kufikiri interactively! BS
 
Huyu chizi anayeitwa Mchange ni nani? Au ni yule ambaye Zitto aliacha mikoa yote na majimbo yote na ufunguzi wa kampeni pale Jangwani kisha akakodiwa helkopta hadi Kibaha kumpigia kampeni na Kisha kurudi Kigoma bila hata kukanyaga kwa Mnyika ambaye alionyesha dalili zote za kushinda...Ndo huyo Mchange???
 
Ukitaka kupima uzito wa ushirikiano wa CCM na Mchange, tazama watu anaowataja ndani ya CHADEMA ni walewale threat kwa CCM na wanatajwa sana na CCM kama threat ambayo wanaamini wakiwadhuru hao CHADEMA haitasimama imara tena.
ukitazama kwa makini utagundua Mchange amemuongeza mtu mmoja kweye Helkopta iliyokusudiwa kutunguliwa, mtu ambaye hakutajwa tangu mwanzo.
 
Mchange!unajua kwamba toilet paper baada ya matumizi hutupwa nayo huenda na ikawa sehemu ya uchafu iliokiwa ikiuondoa?Angalia Mustakabali wa Zito kisiasa.Kama huamini mwambie aje aitishe mkutano wowote nyanda za juu kusini kama watatokea hata watu 100.MASKINI KASHATUMIKA SASA ANAACHWA AJIFIE TARATIBU.Sishangai sana kwako,Kwetu Chifu huzikwa pamoja na mfuasi wake mwaminifu.
 
hapo alipoharibu mchange,,,eti cdm ndyo waliomwua mwadishi,sasa hapo kwenye picha kuna cdm?akadanganye chekechekea nasikuhz hata chekechea wajanja hawadanganyiki sijui atampata nani?nyau kabisa shamba boy wa zito

"kisha muuaji akatoroka kwa utaalam wa hali ya juu kabisa"...hasemi utaalam gani na kivipi alitoroka,kazi kweli kweli!!
 
niliisoma press conference ya habib mchange akidai alishiriki mauaji akiwa chadema,alidhuru watu na kujihusisha na ugaidi akishirikiana na viongozi wengine.
kwa maelezo yake yasiyo na shaka na bila kuhitaji ushahidi zaidi alitakiwa awe mikononi mwa vyombo yvya ktoa haki ili aweze kuipata haki yake na aliowataja wakifanyiwa uchunguzi.
kwa maelezo yake kinachoweza kumponyesha ni hospitali ya mirembe tu.
kama polisi imeweza kuwahoji madiwani wa shinyanga kwa kudai walishirikishwa lakini walikataa ni kwa nini hawamkamati aliyedai kuwa alitenda na ushahidi wa tarehe kaweka?
nafikiri ni tanzania tu mtu anaweza kujitolea ushahidi wa mastaka kama 10 yaliyowazi na asikamatwe.
 
Back
Top Bottom