Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

Madai aliyoyatoa Mosses Machange juu ya Viongozi wa ngazi za juu ndani ya Chadema, yachukuliwe kama Usaliti wa kazi walizokuwa wakizifanya ndani ya Chadema? Vyombo vya habari vimeripoti sana taarifa yake ya PRESS COMFERENCE juu ya tuhuma za Mauaji.

Taarifa za mauaji haya ya kutisha, ni zaidi ya SIASA, si vema kuchukuliwa kuwa ni siasa bali ni vema taarifa hii ikafanyiwa UCHUNGUZI na wahusika kufikishwa kwenye vyombo vya SHERIA kujibu tuhuma. INGEKUWA NI MTU WA KAWAIDA KATOA TAARIFA HIZO, ANGEKUWA MAHALI SASAHIVI. Hii taarifa ni zaidi ya siasa, ina dalili kubwa sana ya ukweli.
Nyakati za mwisho watu hutubu kwa kujutia walioshiriki kuyafanya.
Kina MBOWE, MNYIKA, SLAA,LEMA, LISSU, si mara ya kwanza kuhusishwa na mauaji, WAKAMATWE. Hakuna aliye juu ya Sheria.

Serikali ichukulie jambo hili kuwa la dharura ili kukomesha mitandao ya UGAIDI na MAUAJI humu nchini ambao wanastawi kupitia kivuli cha Siasa. Taarifa iliyotolewa haipaswi kujadiliwa kwenye Thread moja maana ni pana sana, kwa watu wenye ubinadamu walichukulie jambo hili Serious.
Nategemea kuona Wanasheria na Watetezi wa haki za Binadamu humu Nchini kuandaa Makongamano kupitia ITV, STARTV, kama yale ya katiba katika kutetea haki za binadamu.


Yaani hadi mnatia kinyaa. Mosses Machange ndio nani? Yaani hata kubebeka hambebeki. By the way, jamaa kasema Mwangosi aliuwawa na nani? Yaani hii "hoja" ya kipumba.vu imeharibu kabisa ladha ya uzushi wake ule.
 
Vijana wa chadema ni kawaida yenu kukejeli lkn kila aliyoyasema yana ushahidi wengi wetu tunaujua ukweli ulivyo mbowe ni muuaji tu sema yetu haina usalama wa yaifa iliyo makini.
 
Huyu bwana Mchange,inaoonesha ni namna gani anavyoonekana mbabaishaji,punguani na nitashanangaa kama polisi watamuwacha kwa kutoa maneno ya kupanga na ya kipuuzi kama haya,ni upuuzi kusema eti Chadema walipanga kumuua mwangosi,ana maana CDM ndo walimwambia RPC wa Iringa atoe amri ya kumwambia polisi wake uwa alafu baada ya kuua kikwete akampongeza ina maana kikwete ni chadema kwa baada ya mauaji yale wapo walio pandishwa vyeo na kuhamishwa pia kama zawadi,alafu tukio la Arusha hana akili huyu Habibu hivi unaweza jaribu sumu kwa kuonja kweli,eti Mboe amwambia muuaji utapiga bomu kwenye mkutano mimi takao kuwepo inaingia akilini kweli,huyo Mboe yeye aogopi kufa,haya anasema Lisu mlopokaji,na anamshutumu kwa kuikashifu CUF,NCCR,hivi kweli anajua maana ya siasa huyu pumbavu,siasa ni makosa anayoyafanya mwenzako na wewe unayafanyia kazi,alichofanya lissu ni kueleza kwamba wenzetu maadamu mmeingia kuwa pamoja na CCM katika ndoa ya serikali ya umoja basi mmejimaliza na ndo ukweli ulivyo na CUF wameligundua hilo kosa ndo maana wameamua sasa wawe na CDM ktk mapambano ya kuwatetea watanganyika na wazanzibari,nani asie jua leo Mansuri amepewa kesi na kudhalilishwa kwa kuwa tu kaingiia CUF,na Seif yupo pale akiwa makamu wa raisi lkn hana sauti ya kuzuia udhalimu huu wa ccm,nani anabisha kuwa lengo la Karume na Seif lilikua jema kuleta maelwano na mardhiano ndani ya wazanzibari ambao walifikia hawazikani wala kusalimiana,lkn waafidhina wamegeuka na kumchukia Karume mpaka kumzomea dodoma na kumuita uamsho,sasa ndo maana tunasema CUF walifanya kosa kuingia ktk ndoa ya majitu mauaji na magaidi haya lkn kufanya kosa la kwanza si kosa ila kurudia tumeona tuwe pamoja na wenzetu tuwatetee wananchi wanao puuzwa na kuonewa.
 
Huyo Mwendawazimu Habibu Machange hana jipya ni mropokaji tu, anatumika, na anatumiwa na CCM kuwachafua chadema. Huyo mwendawazimu anapaswa kupuuzwa. Mimi siwezi kupoteza muda kumsikiliza huyo mwendawazimu.
 
Vijana wa chadema ni kawaida yenu kukejeli lkn kila aliyoyasema yana ushahidi wengi wetu tunaujua ukweli ulivyo mbowe ni muuaji tu sema yetu haina usalama wa yaifa iliyo makini.

Daudi-Mwangosi.jpg
 
ur too general mkuu, usitetee watu kwa maneno ya kukaririshwa, hapa yametajwa mauaji mbalimbali wewe na mimi hatuna uwezo wa kuchunguza ila kuna wataalam na vyombo. Suala la kusema ni taarifa ya kuahirisha mijadala ya katiba, nalo nachelea kusema ni upotoshaji maana askari na majgdaji wa kuchunguza tuhuma hizi hawapo BMK na pia hao kina Lissu si wamegomea bunge? Wapelekwe jela.

Swali langu kwako ni moja tu,tuhuma za mchange zinauzito upi? Kama tuhuma za awali zilizomfanya yeye aitishe vyombo vya habari hazijashughulikiwa na kupewa uzito?
 
mnampa umaarufu tu huyo shamba boy wa zitto na mwigulu,kwa tamaa ya visenti kaliuza jimbo la kibaha kwa ccm,leo hii anapaogopa mailimoja kama ebola!
 
huyu jamaa ni bure kabisa..... Hana tofauti na Nape kabisa
 
duh hawa ndo vijana wa tz unafiki mtupu njaa mbele hakuna taifa kuendeleea hapo kwa mwendo huo
 
ur too general mkuu, usitetee watu kwa maneno ya kukaririshwa, hapa yametajwa mauaji mbalimbali wewe na mimi hatuna uwezo wa kuchunguza ila kuna wataalam na vyombo. Suala la kusema ni taarifa ya kuahirisha mijadala ya katiba, nalo nachelea kusema ni upotoshaji maana askari na majgdaji wa kuchunguza tuhuma hizi hawapo BMK na pia hao kina Lissu si wamegomea bunge? Wapelekwe jela.

Swali ni kwamba, alipotuhumiwa kutaka kulipua ndege ya akina dr. W. Slaa yeye pamoja na vigogo wa CCM waliotajwa, ulitoa ushauri kama huu? Halafu pia, kwa kutumia common sense tu, unawezaje kujinasua kwenye tuhuma zinazokukabili kwa kuibua madai mapya tena si kwa kumgusa aliyekutuhumu, yaani kuwatuhumu watu wengine?
 
Madai aliyoyatoa Mosses Machange juu ya Viongozi wa ngazi za juu ndani ya Chadema, yachukuliwe kama Usaliti wa kazi walizokuwa wakizifanya ndani ya Chadema? Vyombo vya habari vimeripoti sana taarifa yake ya PRESS COMFERENCE juu ya tuhuma za Mauaji.

Taarifa za mauaji haya ya kutisha, ni zaidi ya SIASA, si vema kuchukuliwa kuwa ni siasa bali ni vema taarifa hii ikafanyiwa UCHUNGUZI na wahusika kufikishwa kwenye vyombo vya SHERIA kujibu tuhuma. INGEKUWA NI MTU WA KAWAIDA KATOA TAARIFA HIZO, ANGEKUWA MAHALI SASAHIVI. Hii taarifa ni zaidi ya siasa, ina dalili kubwa sana ya ukweli.
Nyakati za mwisho watu hutubu kwa kujutia walioshiriki kuyafanya.
Kina MBOWE, MNYIKA, SLAA,LEMA, LISSU, si mara ya kwanza kuhusishwa na mauaji, WAKAMATWE. Hakuna aliye juu ya Sheria.

Serikali ichukulie jambo hili kuwa la dharura ili kukomesha mitandao ya UGAIDI na MAUAJI humu nchini ambao wanastawi kupitia kivuli cha Siasa. Taarifa iliyotolewa haipaswi kujadiliwa kwenye Thread moja maana ni pana sana, kwa watu wenye ubinadamu walichukulie jambo hili Serious.
Nategemea kuona Wanasheria na Watetezi wa haki za Binadamu humu Nchini kuandaa Makongamano kupitia ITV, STARTV, kama yale ya katiba katika kutetea haki za binadamu.

Maneno yako ni sahihi kabisa. Madai yale ni mzito sana, ila katika sheria zetu tuna kitu kinaitwa ushahidi. Kinachonishangaza mpaka sasa hivi ni kwa nini Machange hajafuatwa na vyombo vya sheria kumtaka awape ushahidi kusudi sheria ichukue mkondo wake. Makosa ya jinai kama aliyotaja Machange yanasimamiwa na serikali, bado aliowatuhumu wanaweza kujitetea kwa kuja kesi za madai dhidi yake, lakini atakuwa amewatangulia iwapo atatoa ushahidi wake polisi mapema na watuhumiwa hao wakachukuliwa hatua za kisheria. Akishindwa hilo, basi huenda atakuwa anajiandaa kuburuzwa kwa kesi za defamation kutoka kwa aliowatuhumu.
 
Kipindi kile madiwani wa chadema wale wa shinyanga wanatoa tuhuma kuwa naibu waziri masele na mchange walitaka kuilipua helkopta ya dr slaa ulitoa ushauri kama huu kwa vyombo vya dola?

Nikimnukuu IGP mangu" hizi ni siasa za chadema tu" kwa nini na mie nisiamini kuwa hizi ni siasa za ccm kipitia kuwadi wao mchange?

Huwezi kujua yote aliyoyasema kama ww sio mmoja wao,pili lile swala la mwangosi hata kama kipofu unaweza jua kbs ni nani aliyehusika na yale maauaji,na kama viongozo wa juu wa cdm wanahusika hadi leo tusingekuwa nao uraiani kwani wametafutwa sana kwa kesi mbali mbali na zote za kutunga ndiyo maana wanazishinda,tutumieni akili zetu kwa manufaa ya Taifa letu,kuliko kuwatumia hawa wasaliti kuhamisha mijadala ya kitaifa kihuni kihuni tu
CHADEMA wao kupitia magazeti yao ya RAaia Tanzania na Tanzania Daima wanaita ni mkakati wa kuiangamiza CHADEMA, watu wa ajabu sana.
 
Ndiyo hayo tu? Au mengine aliyaongea off record?
Maana naona heading haiendani na contents.
 
Maneno yako ni sahihi kabisa. Madai yale ni mzito sana, ila katika sheria zetu tuna kitu kinaitwa ushahidi. Kinachonishangaza mpaka sasa hivi ni kwa nini Machange hajafuatwa na vyombo vya sheria kumtaka awape ushahidi kusudi sheria ichukue mkondo wake. Makosa ya jinai kama aliyotaja Machange yanasimamiwa na serikali, bado aliowatuhumu wanaweza kujitetea kwa kuja kesi za madai dhidi yake, lakini atakuwa amewatangulia iwapo atatoa ushahidi wake polisi mapema na watuhumiwa hao wakachukuliwa hatua za kisheria. Akishindwa hilo, basi huenda atakuwa anajiandaa kuburuzwa kwa kesi za defamation kutoka kwa aliowatuhumu.
Ushahidi gani unatakiwa zaidi na huo, Machange alikuwa jaribu sana na viongozi wa CDM na zaidi ameshasema mnyika alivyohusika, akamatwe MNYIKA then wafanye uchunguzi hapo ndipo Mchange atahitajika
 
Kumbe John Mnyika ni muuaji nae kama Mbowe na Slaa? Tunashukuru kwakujua yalio nyuma ya pazia.

ccm wamekosea kuandika hili tamko na kumpa huyu mhuni,..karudia hekaya zilezile zilizochuja,polisi wahojini wote waliotajwa na madiwani mkianza na hiki kidagaa.
 
Last edited by a moderator:
Nkuu Chikutentema, kwanja, achante!. Sifa ya kuita Press Conference ni

1. Uwe na umri wa miaka 18
2. Uwe na akili timamu

Thats all.

Thanks.

Pasco

Sina tatizo na hilo la kwanza.
Tatizo langu ni Kuhusu hilo la Pili;
Je wanamtambuaje mtu mwenye akili timamu?
 
Waongezee na picha nyingine zaidi ya vijana wa policcm wakimteketeza Mwangosi afu watufafanulie Mbowe anaonekana sehemu gani. Poleni ccm
Hii ishu ya mwangosi huwezi kuita ugaidi, ilikuwa ni harakati za utendaji kazi wa polisi, huu ugaidi wa chadema ni hatari sana
 
Waongezee na picha nyingine zaidi ya vijana wa policcm wakimteketeza Mwangosi afu watufafanulie Mbowe anaonekana sehemu gani. Poleni ccm
Hii ishu ya mwangosi huwezi kuita ugaidi, ilikuwa ni harakati za utendaji kazi wa polisi, huu ugaidi wa chadema ni hatari sana
 
Back
Top Bottom