Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

kwani hili suala la chacha wangwe ni uongo mbona kweli kabisa au unapingana na ukweli?

serikali ni ya ccm, kwanini serikali isiwashulikie wahalifu husika kwa mamlaka iliyonayo?ccm inamuachaga mtu kweli??
 
kwani hili suala la chacha wangwe ni uongo mbona kweli kabisa au unapingana na ukweli?

Sasa hii ni serikali gani hii? Mchange anasema kwa waandishi wa habari kuwa Chacha Wangwe aliuawa na Chadema. Kesi iliyokuwa mahakamani ni ya Deus kusababisha ajali na hukumu yake ilishatoka. Kwa nini huyu Mchange asihojiwe na Polisi kutoa ushahidi wake kuhusu njama hizo?
CCM kwa kweli inajivunjia heshima kwa kuwatumia hawa vijana kutoa propaganda chafu zinazodhihirisha kuwa serikali yao ni dhaifu kiasi kuwa mauaji yanayo fahamika (kama wasemavyo) yanaacha kushughulikiwa kisheria bali yana zungumzwa kwa waandishi wa habari na mikutano ya hadhara.



Sent from my iPad using JamiiForums
 
Ameuza ubunge kwa Koka kwa Mil 10, akamgawia dalali MM milion 3 akabakiwa na 7 akawehuka akaacha shule. Hana maana hata kidogo huyo

Nakumbuka hiyo siku anaacha chuo anaondoka na begi lake 2011 alikua anaishi block 2 Udom. Tukamuliza Mchange unaelekea wapi akasema kwenye harakati za kukomboa nchi nitarudi, hakuwahi kurudi mpaka leo
 
Last edited by a moderator:
Hivi cdo yupo kwenye siasa huyu jamaha?yeye,Shonza na Mwampamba hawasikiki kabisa siku hizi!taratibu tutafika tu
 
Mjinga tu huweza kuamini huo upuuzi wake. Mwenye akili na hekima hujibu mambo yanayomhusu na si kusema mbona fulani na fulani wali/me....
 
Mchange alidisco chuo kikuu UDOM so Anahangaika sana .....ndio maana alimpelekea Maswi nyaraka zote za ki Benki za Zitto na jinsi walivyo ends PAP kuchukua fedha za IPTL na wakili wao!!!!!!!
 
Ameuza ubunge kwa Koka kwa Mil 10, akamgawia dalali MM milion 3 akabakiwa na 7 akawehuka akaacha shule. Hana maana hata kidogo huyo

Amejenga nyumba pale Kibaha..maeneo ya Sheli(uyaoni) hata kumalizia ameshindwa..alifikiri M7 utajenga nyumba ya maana..
 
story za mchange, waulizeni kina chege , kwenye ile nyimbo ya lekadutigite, aliwadhulumu milioni 30 ambazo alitakiwa awalipe na kununua fanicha kwenye camp waliyokuwa wanakaaa
kama unamjua msanii yeyote aliyeshiriki lekadutigite uliza story za huyu ----, ni mtu wa ajabu sana halafu linasema eti linataka kugombea u e nyekiti chadema...mazafanta
 
Kwani Mchange kwny huo mkutano leo aliitisha ili kujibu tuhuma za kulipua chopa ya Dr. Slaa au kutoa tuhuma? Na km hizo tuhuma ni za kweli alikuwa wapi siku zote asizitoe au apeleke kwny vyombo vya dola? Amesubiri mpaka atuhumiwe kutua chopa ndio aendeleze makumbano? Hii ni mipasho, huyu jamaa anafaa kuimba taarabu
 
Sasa hii ni serikali gani hii? Mchange anasema kwa waandishi wa habari kuwa Chacha Wangwe aliuawa na Chadema. Kesi iliyokuwa mahakamani ni ya Deus kusababisha ajali na hukumu yake ilishatoka. Kwa nini huyu Mchange asihojiwe na Polisi kutoa ushahidi wake kuhusu njama hizo?
CCM kwa kweli inajivunjia heshima kwa kuwatumia hawa vijana kutoa propaganda chafu zinazodhihirisha kuwa serikali yao ni dhaifu kiasi kuwa mauaji yanayo fahamika (kama wasemavyo) yanaacha kushughulikiwa kisheria bali yana zungumzwa kwa waandishi wa habari na mikutano ya hadhara.



Sent from my iPad using JamiiForums

Kikubwa ni kuwa Mchange hajawahi kukanusha popote kugawa rushwa kwa wajumbe ili achaguliwe kuwa kiongozi Bavicha na Hajakanusha leo kuwa alitaka kumuua Dr. Slaa.

Mchange hajawahi kukana kuuza jimbo, wala hajawahi kubisha kuhusika na PM-7.

Mchange hajawahi kukana kuhusika kwake na yale mamilioni ya NSSF kwenda kwa Gombe tours na Lekadutigite.

Mchange hajawahi kukana kushiriki kuwarubuni madiwani wa Chadema.

Mchange hana integrity ya kuwananga Chadema. wanaomfadhili wanampoteza.
 
Last edited by a moderator:
HABIBU MCHANGE AKANA TUHUMA ZA KUHUSIKA NA ULIPUAJI WA HELKOPTA ILIYOWABEBA MNYIKA NA SLAA.

Leo mchana katika mkutano wake na waandishi wa habari,Mchange amewashambulia waziwazi viongozi wakuu wa chama cha demokrasia na maendeleo na kuwatuhumu kuhiska na mauaji ya aliyekua mbunge wa CHADEMA Tarime,marehemu Chacha Wangwe,kisha kumkana mtu aliyehusika na mauaji hayo Deus Mallya,wakati alikuwa mjumbe katika kamati iliyokuwa chini ya John Mnyika,na rafiki wa Mnyika lakini Mnyika kumkana hajawai hata kumuona.

Kisha kawataja Lissu,Mbowe na Slaa kuajiri vijana na kuwalipa kuwatesa vijana wanaoonyesha kuiunga mkono CCM katika kampeni mbalimbali za chama,hasa kwa kumwagia watu tindikali.

Pia amesema Lissu ni mbinafsi na fisadi aliyedhurumu fedha za miradi ya mazingira,na kujenga nyumba ya ghorofa Tegeta,Mbowe anahujumu mamilioni ya CHADEMA,na Slaa akihujumu fedha za chama kulipia mkopo wa NSSF.

Yaaani ndiyo hiki TUU alichoongea au kuna kingine??
Kama ni huu upuuzi basi nchi imekwisha.
 
Kwani Mchange kwny huo mkutano leo aliitisha ili kujibu tuhuma za kulipua chopa ya Dr. Slaa au kutoa tuhuma? Na km hizo tuhuma ni za kweli alikuwa wapi siku zote asizitoe au apeleke kwny vyombo vya dola? Amesubiri mpaka atuhumiwe kutua chopa ndio aendeleze makumbano? Hii ni mipasho, huyu jamaa anafaa kuimba taarabu

Akajipangie ratiba ya kutumbuiza pale Traventine na lango la jiji!
 
Huu uharo umeshazoeleka,ndio nyimbo za nape,mwigulu na mabuku 7.Nilitegemea aje na jipya kumbe huu huu upuuzi wa mabwana zake
 
Back
Top Bottom