PreGE2025 Mchakato wa kura za maoni za CCM ndiyo uchaguzi wenyewe

PreGE2025 Mchakato wa kura za maoni za CCM ndiyo uchaguzi wenyewe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Kindus

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2014
Posts
3,933
Reaction score
2,805
SIjui mchakato huu inafanyika lini ila sisi kama WATANGANYIKA inatubidi tuufatilie kwa makini sana

Hakutakuwa na uchaguzi baada ya mchakato huu Bali kutafanyika viini macho vitakavyosimamiwa na tume kwa maelekezo maalumu ya serikali wateule wote wa CCM watateuliwa kuwa wabunge rasmi isipokuwa tu Yale majimbo kadhaa yaliopo kwenye mpango wa 4R za mama ambayo mengine yamewekwa wazi kbs kama Rombo MOSHI Siha and etc kwa CHAUMA
Na baadhi ya majimbo ya Pemba ambayo watapewa ACT wazalendo

Niseme tu kuwa uchaguzi CCM wanaungojea kwa makini ni mchakato wa kura za maoni baada ya hapo atakaye pita automatic ni MBUNGE
 
Sijui kama wamekuelewa😁✍️✍️.



Vijiji vingi KURA YA MAONI ikipita basiiiii.


Ndiko CHAMA MAMA anakulia pointi
 
Act, chauma ndio watakuwa na wabunge, cuf nayo waipe wabunge wawili watatu kumtakrima mzee lipumba kwa utulivu wake
 
Uchaguzi utapooza sana bila chama chenye haiba kubwa kushiriki. Ila kwenye kuqa za maoni ndani ya ccma kutakuwa na mshikemshike, wagombea ni wengi, wengine watapigwa chini kinamna huku wakiwa wameshinda maoni anachukuliwa wa pili, tatu nne hata wa mwisho wanayemtaka wao. Kura za maoni awamu hii itabidi wawe wavumilivu kubakia chamani kama watakatwa kinamna hakuna kuhama chama
 
SIjui mchakato huu inafanyika lini ila sisi kama WATANGANYIKA inatubidi tuufatilie kwa makini sana

Hakutakuwa na uchaguzi baada ya mchakato huu Bali kutafanyika
Niseme tu kuwa uchaguzi CCM wanaungojea kwa makini ni mchakato wa kura za maoni baada ya hapo atakaye pita automatic ni MBUNGE
Ni kweli Pre GE2025 - LGE2024 - Mwana JF, Be The First to Know CCM Ndie The Overall Winner wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 Kufuatia Ushindi Serikali za Mitaa。CCM Amekomba Almost Everything!
P
 
Nimejiuliza sanaaaaaaa huyu kikwete amekula Kuanzia awamu ya Kwanza, awamu ya pili,awamu ya tatu ,awamu ya nne,awamu ya tano ,awamu ya sita ,Kwa Sasa amesababisha ccm kuvunja katiba Yao ya chama ili Samia apite bila kupingwa !!Alikwenda Kenya kwenye uangalizi wa uchaguzi alivyorudi akasema Yale mambo ya Kenya tuyaige lakini cha ajabu mwaka huu wote anajitahidi kufanya kampeni Kwa Sheria hizo za kishenzi ,najiuliza wewe kikwete watanzania wamekufanya nini?!Familia yako yote ipo serikalini!Wewe Mzee unataka nini tena ?
 
SIjui mchakato huu inafanyika lini ila sisi kama WATANGANYIKA inatubidi tuufatilie kwa makini sana

Hakutakuwa na uchaguzi baada ya mchakato huu Bali kutafanyika viini macho vitakavyosimamiwa na tume kwa maelekezo maalumu ya serikali wateule wote wa CCM watateuliwa kuwa wabunge rasmi isipokuwa tu Yale majimbo kadhaa yaliopo kwenye mpango wa 4R za mama ambayo mengine yamewekwa wazi kbs kama Rombo MOSHI Siha and etc kwa CHAUMA
Na baadhi ya majimbo ya Pemba ambayo watapewa ACT wazalendo

Niseme tu kuwa uchaguzi CCM wanaungojea kwa makini ni mchakato wa kura za maoni baada ya hapo atakaye pita automatic ni MBUNGE
INEC tayari wanayo matokeo,maagizo ni kuwa wawatangaze wagombea wote wa CCM kushinda kwa 99% kama ilivyokuwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Ni wapumbavu tu watakubali kupoteza muda wao kwenda kupiga kura. No Reforms No Election.
 
SIjui mchakato huu inafanyika lini ila sisi kama WATANGANYIKA inatubidi tuufatilie kwa makini sana

Hakutakuwa na uchaguzi baada ya mchakato huu Bali kutafanyika viini macho vitakavyosimamiwa na tume kwa maelekezo maalumu ya serikali wateule wote wa CCM watateuliwa kuwa wabunge rasmi isipokuwa tu Yale majimbo kadhaa yaliopo kwenye mpango wa 4R za mama ambayo mengine yamewekwa wazi kbs kama Rombo MOSHI Siha and etc kwa CHAUMA
Na baadhi ya majimbo ya Pemba ambayo watapewa ACT wazalendo

Niseme tu kuwa uchaguzi CCM wanaungojea kwa makini ni mchakato wa kura za maoni baada ya hapo atakaye pita automatic ni MBUNGE
Tayari ANGELA KAIRUKI ameanza kugawa MABURUNGUTU YA PESA HUKO KIBAMBA. JUZI ALIGAWA70000 Kwa kila mjumbe, huku mtenvu akigawa 30000/= kwa kila mjumbe?
Takukuru wana cheza kamari ofsini
 
Tayari ANGELA KAIRUKI ameanza kugawa MABURUNGUTU YA PESA HUKO KIBAMBA. JUZI ALIGAWA70000 Kwa kila mjumbe, huku mtenvu akigawa 30000/= kwa kila mjumbe?
Takukuru wana cheza kamari ofsini
Acha kumchongea dada 'mashallah' laughs 😃 😀
 
Tayari ANGELA KAIRUKI ameanza kugawa MABURUNGUTU YA PESA HUKO KIBAMBA. JUZI ALIGAWA70000 Kwa kila mjumbe, huku mtenvu akigawa 30000/= kwa kila mjumbe?
Takukuru wana cheza kamari ofsini
TAKUKURU wenyewe wapenda Takrima/Rushwa
 
Unajua sababu ya huu mchakato kusimamishwa? Kuna joto wamekutana nalo baada ya kumkamata mzée wa No reforms no election. Kamuulizeni mama yenu atawaambia.
 
Unajua sababu ya huu mchakato kusimamishwa? Kuna joto wamekutana nalo baada ya kumkamata mzée wa No reforms no election. Kamuulizeni mama yenu atawaambia.
Kwani wamesimamisha
 
Back
Top Bottom