Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,293
Ni kweli kwani angekuwa mjane mjane tunaowajua hii isingetokea kwani inaonekana yeye ni Janet Kiwia's business profile as Chief Executive Officer at World Jet Travel Inc ambayo pia ina tawi Marekani. Hivyo huyu mama Rwaka (kama kweli ni yeye) alipima maji vibaya hapa.
Huyu mama ni al maarufu kama Lolita, amezaa na baba yake marehemu Nyaga watoto wawili Obre- wa La Liga Moshi na mdogo wake-Huyu mama ni mjanja wa siku nyingi mama Rwakatare hamuingii kwa lolote, kwa kweli hapa aliingia choo cha kiume!!