Soma post yako niliyorespond kwake. Naona unaandika vitu halafu unasahau.
Nimeshangaa kidogo unavyonitakia shule njema (sijui una maanisha nini?) pili, nadhani umeisoma juu juu post yangu maana ulichojibu sicho nilichokiandika kabisa. Hakuna sehemu nimesema huwezi kuhoji authority (iwe mahakama, wizara au manispaa) ila nimekwambia wewe kuwa kama huna details za court jugdement sidhani kama unaweza kusema kwa authority kuwa hili swala liliamuliwa in favour ya Lwakatare. It's fine umesema tuna argue on basis ya taarifa za gazeti. Lakini ni taarifa za gazeti hili hili ndo limeandika kuwa huyu mama yeye ndo alizuiwa kwa amri ya Baraza la Ardhi asiendelee na ujenzi wowote. Kilichoandikwa ni kuwa kesi ipo mahakamani na hiyo stop order sijui mwenzetu umeitoa wapi. Ndo maana tunakuuliza kama upo jirani na mgogoro huu na una hizo taarifa za ziada ziweke hapa. Unless, naona umeamua kumtetea mvunjaji wa sheria. Inawezekana una maslahi naye.