Kwanza futa kabisa kauli yako ndug kuwa gwajima ni mchungaji wa makanisa ya kipentecoster. Si kweli kwani mim mwenyewe ni mpentecoste na wala gwajima sio mchungaji wetu wapentecoste. Mchungaji wetu na kiongoz wetu tunamjua. Hatuwez kuongozwa na gwajima anayetukana matusi hovyo kama mhun wa manzes. Hatuwez kuongozwa na gwajima anayeandikwa kwenye magazt kila siku kwa.tuhuma za usinz na uasherat. Yeye tunavyojua ni mchungaji wa kanisa la kufufua misukule na ndivyo weng wanavyojua. Hivyo kauli yako ya kumwita mchungaji wa wapentecost iishie hapohapo.
hamjui Paul Makonda.
Two misfits in a tug of war!Mchungaji wa makanisa ya kipentekoste mch. Josephat Gwajima amesema hatapoteza muda wake kwenda kumuona Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda.
Amesema barua aliyoipata toka kwa Mkuu wa Wilaya imemfedhehesha na kasema hataijibu itajibiwa na maombi ya mnyororo yanayoendelea.
Chanzo: Kutoka magazetini.
Serikali haina dini haisajili makanisa wala misikiti huwa inasajili NGO.Hicho mnachoita kanisa la Ufufuo na Uzima Serikalini imesajiliwa kama NGO tu wala si kanisa.Huyo anayeendesha ndio anajua ni kanisa serikali inajua ni NGO yaani kiswahili shirika lisilo la kiserikali lililoko viwanja vya kawe linalolikana jina kama kanisa la ufufuo na uzima.Linawajibika kwa mkuu wa wilaya kama NGO.
Kwani kutokuja kwake na organization yake
Kunahusiana nn??
Makonda should shut up, this issue is in police hand
Mimi sio Flora Mbasha kuwa nimeachika kwa Gwajima hivyo nina Chuki binafsi za kuachika.nitue.
I don't care who and what you are but the truth remains that you hate Gwajima for ni apparent reason. Maybe it is because you belong to diffrent religions believing in different Gods.
Gwajma ni jembe kama Tundu lissu.
Makonda kamtega Gwajima na sasa Gwajima kaingia kwenye mtego kirahisi tena wafuasi wake badala ya kushauri vizuri wanamchochea azidi kujiharibia zaidi.
Acheni kupoteza muda fanyeni kazi nchi hana pesa.
Mbona Sinema Hii Ni Rahisi Sana Kuing'amua! ( Bernard membe = Paul Makonda Na Edward Lowassa = Gwajima ) Mwisho Wa Sinema Yangu.
Hivi kunakuwaga na maombi ya kisasi?!makonda huyu afundishwe misingi ya uongozi(rule of law) yeye sio polisi wala mahakama
Usiseme nchi haina hela sema wewe huna hela hata Gwajima tunayemjadili ana hela kibao.Wewe kama huna shauri yako na ulofa wako.Nchi ina hela ndio maana akina Gwajima wanazo.Ila wewe kama huna pole sana.
Mbona kamanfda Kova hana muumini wala mfuasi wake hata mmoja mbona alipomwambia Gwajima aende kuripoti kwake mbona Gwajima alienda mbio tena kwa miguu baada ya kuona foleni ya magari inamchelewesha?
Kwenye mambo ya NGO mkuu wa wilaya ana nguvu kuliko Kamanda KOVA.
Gwajima anachezea moto.Hamjui mikuu wa wilaya ni nani anadhani naye ni mmoja wa hao misukule wake.Shauri yake wale mnaomuunga mkono asiende msije kuja kupiga yowe hapa tena kulalamika
Hivi huyu Makonda si ndiye alimpiga mzee Warioba? Afadhali Gwajima alishashtukia mapema!
Gwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE
Hivi huyu Makonda si ndiye alimpiga mzee Warioba? Afadhali Gwajima alishashtukia mapema!