Makanisa likiwemo la Gwajima yamesajiliwa kama NGO
Mbona kamanfda Kova hana muumini wala mfuasi wake hata mmoja mbona alipomwambia Gwajima aende kuripoti kwake mbona Gwajima alienda mbio tena kwa miguu baada ya kuona foleni ya magari inamchelewesha?
Kwenye mambo ya NGO mkuu wa wilaya ana nguvu kuliko Kamanda KOVA.
Gwajima anachezea moto.Hamjui mikuu wa wilaya ni nani anadhani naye ni mmoja wa hao misukule wake.Shauri yake wale mnaomuunga mkono asiende msije kuja kupiga yowe hapa tena kulalamika
Makonda alimwita Gwajima maksudi akijua kuwa Lazima Gwajima atakaidi Amri ili yeye apate Sababu ya kumtoa nduki kule kawe, Gwajima uwe makini na hilo.
Gwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE
Binafsi sidhani kama Mch. Gwajima amekurupuka katika kauli yake. Nadhani kuna jambo na ndo maana amegoma kwenda kwa Kamati inayoongozwa na Makonda. Ikumbukwe kuwa Makonda Mwenyewe hana nidhamu kwani kipindi fulani aliwahi kuporomosha mvua ya matusi kwa viongozi wetu lakin hakuna Jeshi la Police wala Kamati ya ulinzi na usalama iliyomwita kumuhoji.
Sheria za nchii zina macho kama ya Kova.
Ndio maana nimekuuliza alifute kanisa kwa kosa lipi, unajua madhara ya kufuta kanisa au migogoro ya dini unaisikia redioni tu?Kuna masharti na mambo ambayo NGO ikiwemo hiyo ya Gwajima inabidi iyafanye au izingatie katika utendaji wake ikikiuka yaweza futiwa usajili mkuu wa wilaya akiita sio wito mdogo.Kuhojiwa na polisi hakuondoi yeye kwenda kwa mkuu wa wilaya.Mkuu wa wilaya ana kazi zake kuhusiana na NGO na polisi wana kazi zao kuhusiana na mambo ya kazi zao.
Kova sawa! Lile ni jeshi la polisi ambalo linafanya kazi chini ya sheria inayoliongoza! Huyu D.C. ana mamlaka gani ya kufanya hivyo? Huo ni ulevi wa madaraka na kutokutumia akili!
Kama linatakiwa kufutwa au la lina makosa au halina aende kwa mkuu wa wilaya anayemwita atayajua huko.Ndio maana nimekuuliza alifute kanisa kwa kosa lipi, unajua madhara ya kufuta kanisa au migogoro ya dini unaisikia redioni tu?
Kanisa la Gwajima lina mizizi yake na lipo pale kwa muda mrefu hata Makonda hajaanza shule ya msingi, jiulize ni ma dc wangapi wamelikuta na kuliacha kwani Makonda anawazidi nini.
Duuh hajui huyo ni milinzi wa amani aka mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama, ila nchi hii kuna baadhi ya watu wana raha wakitoa maneno yanayodhaniwa yamemkashifu mtu mwingine wanachoambiwa waende kituo cha polisi wakaripoti wenyewe lakini wengine utatafutwa kwa marungu au hapo hapo unapotoa hayo maneno unazuiwa na kufunguliwa mashitaka.
Kuwa mkuu wa wilaya sio warranti ya kutenda mambo kilevi yasiyofuata sheria hata yeye yuko chini ya sheria lazima afuate utawala wa sheria rule of law.Mkuu wa wilaya yuko kisheria na polisi unajua huwa wanampiga salute.
Mkuu wa wilaya ndiye raisi wa wilaya.Gwajima yuko chini ya raisi wa wilaya Makonda.
hivi gwajima ana miliki NGO au jumba la ibada.
Kanisa sio NGO ndugu
Kuwa mkuu wa wilaya sio warranti ya kutenda mambo kilevi yasiyofuata sheria hata yeye yuko chini ya sheria lazima afuate utawala wa sheria rule of law.
Gwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE
Muziki huu Makonda hauwezi! Ni mkurupukaji tu siku zote.
mwambie basi alifute kanisa la Gwajima kama yeye ni kidume!!Gwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE
Gwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE