Mburn CD anusulika kushikishwa ukuta

Mburn CD anusulika kushikishwa ukuta

Fidel80

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2008
Posts
21,945
Reaction score
4,506
Mjasilia mali mmoja wa kuburn CD aliponea chupu chupu kufanyiwa kitu mbaya na mabaunsa, alifumwa na mke wa Mdosi wa Masaki. Huyo mwanamke ilikuwa kawaida kutinga kwenye geto la jamaa huku akiwa amepaki mkoko wake nje wanoko kumbe ule usafiri wanaujua siku ya kwanza walimpigia Mr. wa huyo mama vp tunauona usafiri wako maeneo ya Magomeni Mr. akawaambia wanoko kuwa huyo ni wife mi nipo Posta kazini. Basi ikawa kawaida mke wa mtu kufika kwa mburn CD kisha kumegwa za mwizi 40 siku kaaga anaenda K.koo kama ilivyo ada akapaki mkoko kwenye geto la jamaa mburn CD wanoko wakamshtua mwenye mke jamaa akaja na mabaunsa 4 huku na huku kugonga mlango jamaa akakataa kufungua jamaa wa chumba cha pili wakambeba wakamwambia akate seiling bord akarukia chumba cha 2 na kuvaa bui bui na kutokomea jamaa kubomoa mlango wakakuta mke yupo alone huku jamaa akiwa ametokomea.
Jamani akina mama lidhikeni na waume zenu jamani.
 
Mjasilia mali mmoja wa kuburn CD aliponea chupu chupu kufanyiwa kitu mbaya na mabaunsa, alifumwa na mke wa Mdosi wa Masaki. Huyo mwanamke ilikuwa kawaida kutinga kwenye geto la jamaa huku akiwa amepaki mkoko wake nje wanoko kumbe ule usafiri wanaujua siku ya kwanza walimpigia Mr. wa huyo mama vp tunauona usafiri wako maeneo ya Magomeni Mr. akawaambia wanoko kuwa huyo ni wife mi nipo Posta kazini. Basi ikawa kawaida mke wa mtu kufika kwa mburn CD kisha kumegwa za mwizi 40 siku kaaga anaenda K.koo kama ilivyo ada akapaki mkoko kwenye geto la jamaa mburn CD wanoko wakamshtua mwenye mke jamaa akaja na mabaunsa 4 huku na huku kugonga mlango jamaa akakataa kufungua jamaa wa chumba cha pili wakambeba wakamwambia akate seiling bord akarukia chumba cha 2 na kuvaa bui bui na kutokomea jamaa kubomoa mlango wakakuta mke yupo alone huku jamaa akiwa ametokomea.
Jamani akina mama lidhikeni na waume zenu jamani.

Mh...! Haya bw. Kama sinema vile..!
 
mabaunsa wangemlidhisha na huyo mama ili hamu iishe. kumbe baibui noma!
 
Mjasilia mali mmoja wa kuburn CD aliponea chupu chupu kufanyiwa kitu mbaya na mabaunsa, alifumwa na mke wa Mdosi wa Masaki. Huyo mwanamke ilikuwa kawaida kutinga kwenye geto la jamaa huku akiwa amepaki mkoko wake nje wanoko kumbe ule usafiri wanaujua siku ya kwanza walimpigia Mr. wa huyo mama vp tunauona usafiri wako maeneo ya Magomeni Mr. akawaambia wanoko kuwa huyo ni wife mi nipo Posta kazini. Basi ikawa kawaida mke wa mtu kufika kwa mburn CD kisha kumegwa za mwizi 40 siku kaaga anaenda K.koo kama ilivyo ada akapaki mkoko kwenye geto la jamaa mburn CD wanoko wakamshtua mwenye mke jamaa akaja na mabaunsa 4 huku na huku kugonga mlango jamaa akakataa kufungua jamaa wa chumba cha pili wakambeba wakamwambia akate seiling bord akarukia chumba cha 2 na kuvaa bui bui na kutokomea jamaa kubomoa mlango wakakuta mke yupo alone huku jamaa akiwa ametokomea.
Jamani akina mama lidhikeni na waume zenu jamani.


turidhike ata km HATURIDHISHWI?
do u thk bdada angekuwa anaSHIBISHWA UKO angekuwa na haja ya kumtafuta mnuka kikwapa muuza cd?
mnashndwa kuwaridhisha wake ...nyie mnajua tu mke wangu ajui mambo ndo mana natoka nje...even wanawake hawaridhiki na nyinyi na mkiambiwa mnakuwa mbogo...kwanini unanambia skufikish kuna anayekufikisha sio? umeanza umarraya sio?...panachimbika bila jembe so the main n only solution is to dig out kwa raha zooooooooooooooooooooooote!!!!!!!

muwaridhishe wake zenu habar ya kujiridhisha nyinyi tu haifai
 
mmh, bila shaka alivaa na niqab au burka coz baibui pekee sura ingetambulika. ndio maana ufaransa wanakataza kuvaa hivyo coz wahalifu wanatumia vibaya hilo vazi!
 
Back
Top Bottom