kamandamakini
Senior Member
- Feb 17, 2012
- 184
- 148
Sasa msigwa anahusika na nini hapa , kwanza msigwa hayuko katika kundi la vijana, huyu jamaa anaitwa chilisosi,naona ana akili ya kuku , anadhani kwa kukaa uingereza watanzania ni wajinga kama akili yake , anashindwa kuunganisha mambo ,hiyo hadithi haina uhusiano wote na jembe msigwa,