Kamusi zimefika,wala sio kamusi huyu no m...k ...kabisa silly
Kamusi zimefika,wala sio kamusi huyu no m...k ...kabisa silly
I dont have such a time to waste re-reading huu uzi.Soma upya utajifunza kitu hapa. Ukiona hujajifunza baada ya kusoma mara ya pili, achana na huu uzi manake utakupoteza mazima!!!! Some issues are beyond your mental understanding, it take years to reach through experience and education.
Hakuna muhehe mnafiki....we ni mnafiki sana!!umejuaje kama ni Msigwa?
Yaani wewe mtu akitangaza nia ni mnafiki?
Acha ujinga jamaa yangu, mie nakuja huko na tutaonana uso kwa uso na kila mtu kwani nakuja ili tushirikianbe kuiendeleza Iringa yetu, mimi wewe na yule wote sie ni wana Iringa and we must be proud of our beloved Iringa!
I dont have such a time to waste re-reading huu uzi.
Huu uzi hauna kitu chochote kilichojificha kusomwa Kiviiile, i trust my Level of Understanding....i dont have any Doubt about this.
Sijaona alichosema zaid ya Kukutana na Mbunge kijana na issue ya Gari Mpya ya Mbunge Kijana.
Hebu sema wewe Cha Maana ulichojifunza au ulichopata from this Thread
I repeate again, this Thread is one of Holy "Cra.ppest" Thread, Uzumbukuku Mtakatifu
This is Holy Cra.p
Moods, hii Thread na https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/410974-mbunge-yule-kijana-aliyeniomba-ushauri.html
Zitupilieni Mbali.
Huu ni Muendelezo wa Chuki na Fitna za Gamba maggid kwa Mbunge wa wana Iringa Mchungaj Msigwa
Soma upya utajifunza kitu hapa. Ukiona hujajifunza baada ya kusoma mara ya pili, achana na huu uzi manake utakupoteza mazima!!!! Some issues are beyond your mental understanding, it take years to reach through experience and education.
Naambiwa, naye siku hizi anapomaliza vikao vya kuongea hata na jamaa zake tu, haraka sana hukimbilia kutoa ' bahasha za nauli'.Siku hizi mbunge yule kijana ana gari zaidi ya ile aliyokwenda kuichukua Dar. Amekuwa mbunge-mfanyabiashara.
Nani asiyemfahamu Maggid kuwa anakula sahan moja na sisiem? unadhani ataweza kusifia upinzani yeye anachokiona kizuri ni kupiga usingiz kwa komba bungeni kweli siasa kazi.
Ha ha ha haaa.....Maggid. Naona kama mbunge yule alikuwa muongo juu ya risiti za mafuta. Kwani bunge linajua kila mbunge ametoka wapi, na wala hawanaga sababu ya kupeleka risiti. Ni wana chati ya umbali, wanaangalia umbali na bei ya mafuta ya sokoni, na kuingiza pesa kwenye akaunti.
Nakushangaa kwa mbunge kutoa bahasha ya nauli ni tatizo kwako. na nakushangaa pia kushangaa mbunge huyu kuhangaikia gari lake, sijui angefikaje kwa wananchi.
Mbona wee kutwa wafanya kazi zako na gari lako,mtena muda wowote wasafiri.
Leta mambo ya msingi Maggid.
''sisi sote ni ndugu,tatizo ni ccm''yalikuwa maneno yako,mbele ya viongozi wa chaema,ccm wamekurubuni leo unajifanya eti kuponda upinzani,eti dalili ya mvua,gamba mkubwa.Dalili ya mvua ni mawingu