Ni bora ukaeleza faida za kura ta wazi kwanza kabla ya kufuata mkumbo kumshinikiza mbunge wako akaiombe maana hiyo kura ya wazi nijua mimi itaondoa uhuru wa mtu kwani atalizimika kufuata msimamo wa kundi lake..
Mbunge wangu Zitto nataka Kura ya siri. Mbunge wangu wa kambo Hamisi Kugwangala, Kilaza mkuu Aden Rage, Mzee wa vichanga Samweli Sitta, Mzee wa kubaka vitoto Kapuya naombeni KURA ya Siri itumike
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.