Aisee!!!
Watanzania mna taabu sana nyie! Mbunge ameongea vizuri sana tena amemshukuru Magufuli kwa ujio wake.
Ameweza kuyasemea matatizo ya wananchi wake kikubwa ni mgogoro wa ardhi baina ya wananchi na wawekezaji.
Ameomba wananchi wale waliopisha mradi wa Museveni wapewe ardhi kwenye shamba la Amboni.
Amekazia yale yaliyosemwa na wenzake waliotangulia kama vile Upanuzi wa Uwanja wa ndege na fidia kwa wananchi.
Kwa ujumla mji wa Tanga hauna kero nyingi za kutisha na kwa ufupi leo Mussa Mbarouk amejitahidi kuongea
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania mna taabu sana nyie! Mbunge ameongea vizuri sana tena amemshukuru Magufuli kwa ujio wake.
Ameweza kuyasemea matatizo ya wananchi wake kikubwa ni mgogoro wa ardhi baina ya wananchi na wawekezaji.
Ameomba wananchi wale waliopisha mradi wa Museveni wapewe ardhi kwenye shamba la Amboni.
Amekazia yale yaliyosemwa na wenzake waliotangulia kama vile Upanuzi wa Uwanja wa ndege na fidia kwa wananchi.
Kwa ujumla mji wa Tanga hauna kero nyingi za kutisha na kwa ufupi leo Mussa Mbarouk amejitahidi kuongea
Sent using Jamii Forums mobile app