Mbunge wa Tanga umewaangusha UKAWA

Mbunge wa Tanga umewaangusha UKAWA

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
51,941
Reaction score
101,473
Mbaruku umesahau kuwa kama si UKAWA usingeliupata ubunge, Tanga ni ya CCM. Uliibuka mshindi kwasababu ya UKAWA, leo unasema maendeleo hayana chama, sijui umepitia mlango wa nyuma. copied..."Kusema maendeleo hayana chama sio kosa kosa ni kutokuwasilisha Shida za wananchi na kukalia kumsifia mtu kwa kutimiza wajibu wake unaomlipa mshahara"

Subiri 2020 utapata majibu ya kauli zako za leo. CCM hawatakubali uzibe nafasi zao, kwa hiyo umekwisha. Umeshindwa hata kuwamwambia kero za watu wako wa jimbo la Tanga ukaishia kumtukuza Rais.
 
Huyo jamaa maccm ambao ndiyo walijiona ni shughuli yao hawakumpa hata nafasi ya kusalimia wapiga kura wake, badala yake akapewa fursa hiyo ya kusalimia wakazi wa Tanga "outsider* Katibu Mkuu wa CCM, sasa sijui unamlalamikia kwa lipi mbunge huyo wa CUF?
 
Huyo jamaa maccm ambao ndiyo walijiona ni shughuli yao hawakumpa hata nafasi ya kusalimia wapiga kura wake, badala yake akapewa fursa hiyo ya kusalimia wakazi wa Tanga "outsider* Katibu Mkuu wa CCM, sasa sijui unamlalamikia kwa lipi mbunge huyo wa CUF?
alipewa akazungumza kumsifia mkuu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Jamaa Musa mbaruku hana nafasi awamu ijayo..!kashakuwa mbunge mzigo tanga!wananchi washamchoka!
 
Mbaruku umesahau kuwa kama si UKAWA usingeliupata ubunge, Tanga ni ya CCM. Uliibuka mshindi kwa sababu ya UKAWA, leo unasema maendeleo hayana chama, sijui umepitia mlango wa nyuma. Subiri 2020 utapata majibu ya kauli zako za leo! CCM hawatakubali uzibe nafasi zao, kwa hiyo umekwisha!
Umeshindwa hata kuwamwambia kero za watu wako wa jimbo la tanga ukaishia kumtukuza Rais.
My friend, do not bring narrow-minded thinking, hajakosea kusema maendeleo hayana chama, the guy is extremely correct. Take an example, DAR-BRT, is used by all Tanzanians, irrespective of their political parts they belong to. Moreover, Even fly-overs ambazo serikali inazijenga Dsm, zitatumika na watz wote, hata reli ya standard gauge ikiisha, itatumika na watz wote. I kindly request you to justify how the Hon. MP was wrong about his statement. Watu mnakuwa na siasa za chuki, sijui hii ndo demokrasia mnayoitaka.
 
My friend, do not bring narrow-minded thinking, hajakosea kusema maendeleo hayana chama, the guy is extremely correct. Take an example, DAR-BRT, is used by all Tanzanians, irrespective of their political parts they belong to. Moreover, Even fly-overs ambazo serikali inazijenga Dsm, zitatumika na watz wote, hata reli ya standard gauge ikiisha, itatumika na watz wote. I kindly request you to justify how the Hon. MP was wrong about his statement. Watu mnakuwa na siasa za chuki, sijui hii ndo demokrasia mnayoitaka.

Hujaelew mtoa hoja, ameshindwa kutetea hoja za shida za wananchi wake ameishia mambo ya maendeleo hayana chama. Ilibidi aseme shida za wananchi wake. Kuna mambo ya msingi ya kuyasemea wananchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbaruku umesahau kuwa kama si UKAWA usingeliupata ubunge, Tanga ni ya CCM. Uliibuka mshindi kwasababu ya UKAWA, leo unasema maendeleo hayana chama, sijui umepitia mlango wa nyuma.

Subiri 2020 utapata majibu ya kauli zako za leo. CCM hawatakubali uzibe nafasi zao, kwa hiyo umekwisha. Umeshindwa hata kuwamwambia kero za watu wako wa jimbo la Tanga ukaishia kumtukuza Rais.
Ukawa ndio upuuzi gani wewe.ondoa takataka hizo sasa zimekuwa zilipendwa.. mnafanya ukawa utafikiri ni muunganiko wa vyama wakati ilikua ni issue ya bunge la kikatiba tu. Ukawa yenyewe ilishasambaratika baada ya kuvamiwana watuhumiwa wa ufisadi.. hivi sasaimebaki chadem peke yake, sababu Lipumba alishajitoa, nld haipo, nccr imepoteza mwelekeo! ,, sasa ukawa iko wapi...
 
My friend, do not bring narrow-minded thinking, hajakosea kusema maendeleo hayana chama, the guy is extremely correct. Take an example, DAR-BRT, is used by all Tanzanians, irrespective of their political parts they belong to. Moreover, Even fly-overs ambazo serikali inazijenga Dsm, zitatumika na watz wote, hata reli ya standard gauge ikiisha, itatumika na watz wote. I kindly request you to justify how the Hon. MP was wrong about his statement. Watu mnakuwa na siasa za chuki, sijui hii ndo demokrasia mnayoitaka.
Kiswahili ni lugha unayoimudu zaidi,naweza kuthibitisha!
 
Tusimlaumu sana ndio mara ya kwanza anapokea ugeni mzito hofu hofu na kumbu kumbu ya mbunge wa kusini kuambiwa achangie mradi mbele ya wananchi!
 
Mbaruku umesahau kuwa kama si UKAWA usingeliupata ubunge, Tanga ni ya CCM. Uliibuka mshindi kwasababu ya UKAWA, leo unasema maendeleo hayana chama, sijui umepitia mlango wa nyuma.

Subiri 2020 utapata majibu ya kauli zako za leo. CCM hawatakubali uzibe nafasi zao, kwa hiyo umekwisha. Umeshindwa hata kuwamwambia kero za watu wako wa jimbo la Tanga ukaishia kumtukuza Rais.
Anawawakilisha wananchi siyo ukawa
 
Back
Top Bottom