Mbunge wa Tanga umewaangusha UKAWA

Mbunge wa Tanga umewaangusha UKAWA

.......Nisisikie mtu anajivunia bomba la mafuta hilo limeletwa na serikali ya CCM
Maendeleo hayana chama..... By Magu
 
Mbaruku umesahau kuwa kama si UKAWA usingeliupata ubunge, Tanga ni ya CCM. Uliibuka mshindi kwasababu ya UKAWA, leo unasema maendeleo hayana chama, sijui umepitia mlango wa nyuma.

Subiri 2020 utapata majibu ya kauli zako za leo. CCM hawatakubali uzibe nafasi zao, kwa hiyo umekwisha. Umeshindwa hata kuwamwambia kero za watu wako wa jimbo la Tanga ukaishia kumtukuza Rais.
Ni kweli kabisa, maendeleo hayana chama. Alichopaswa kusema ni kuwa maendeleo bila uhuru wa kutoa maoni na kuwa na democrasia ya kweli, hayawezekani!
 
Mbaruku umesahau kuwa kama si UKAWA usingeliupata ubunge, Tanga ni ya CCM. Uliibuka mshindi kwasababu ya UKAWA, leo unasema maendeleo hayana chama, sijui umepitia mlango wa nyuma.

Subiri 2020 utapata majibu ya kauli zako za leo. CCM hawatakubali uzibe nafasi zao, kwa hiyo umekwisha. Umeshindwa hata kuwamwambia kero za watu wako wa jimbo la Tanga ukaishia kumtukuza Rais.
Ebo! Mlitaka Mhe Mbunge amvae Rais kama Lema alivyomvaa RC. Safi sana Kamanda. Mabadilikooo!
 
Mbaruku umesahau kuwa kama si UKAWA usingeliupata ubunge, Tanga ni ya CCM. Uliibuka mshindi kwasababu ya UKAWA, leo unasema maendeleo hayana chama, sijui umepitia mlango wa nyuma.

Subiri 2020 utapata majibu ya kauli zako za leo. CCM hawatakubali uzibe nafasi zao, kwa hiyo umekwisha. Umeshindwa hata kuwamwambia kero za watu wako wa jimbo la Tanga ukaishia kumtukuza Rais.
duuuu kwa hiyo hamtaki wabunge wenu washirikiane na rais halafu eti mnataka demokrasia
 
Mambo haya ndiyo hadi wengine wamefikia kusema viongozi ambao ni wakristo ndiyo madikteta na wenye kusababisha maisha magumu ikatolewa mifano ya Nyerere,Mkapa na sasa Magufuri.

Huyo naye analeta uchama kwenye maendeleo hana tofauti na mwenye kuleta udini kweye siasa.
 
duuuu kwa hiyo hamtaki wabunge wenu washirikiane na rais halafu eti mnataka demokrasia
Uwe unakuwa na uelewa, nasema ameshindwa kusema kero za wananchi wake anashupalia kumpongeza. Elewa context
 
Kiswahili ni lugha unayoimudu zaidi,naweza kuthibitisha!
Ni kweli kabisa ni upeo mfinyu kuandika lugha ya kiingerza unapotaka kuwasilisha jambo muhimu la kitaifa, watanzania tuige nchi kama China, Ufaransa, Ujerumani na nyinginezo ambao wanajali lugh za kwao.
 
Mambo haya ndiyo hadi wengine wamefikia kusema viongozi ambao ni wakristo ndiyo madikteta na wenye kusababisha maisha magumu ikatolewa mifano ya Nyerere,Mkapa na sasa Magufuri.

Huyo naye analeta uchama kwenye maendeleo hana tofauti na mwenye kuleta udini kweye siasa.
Huelewi, we ni mgumu kuelewa. Soma post hii nimeitoa hapa aliyeelewa" "Kusema maendeleo hayana chama sio kosa kosa ni kutokuwasilisha Shida za wananchi na kukalia kumsifia mtu kwa kutimiza wajibu wake unaomlipa mshahara"
 
Ni kweli kabisa, maendeleo hayana chama. Alichopaswa kusema ni kuwa maendeleo bila uhuru wa kutoa maoni na kuwa na democrasia ya kweli, hayawezekani!
Pamoja na hiyo hoja ni hii: (nimeitoa kwa aliyejibu) "Kusema maendeleo hayana chama sio kosa kosa ni kutokuwasilisha Shida za wananchi na kukalia kumsifia mtu kwa kutimiza wajibu wake unaomlipa mshahara"
 
Anawawakilisha wananchi siyo ukawa
Hoja ni nii....Kusema maendeleo hayana chama sio kosa kosa ni kutokuwasilisha Shida za wananchi na kukalia kumsifia mtu kwa kutimiza wajibu wake unaomlipa mshahara"
 
Back
Top Bottom