kwani hapo magufuli alikuwa anafanya niniUwe unakuwa na uelewa, nasema ameshindwa kusema kero za wananchi wake anashupalia kumpongeza. Elewa context
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ndio maono ya bavichaaaakumsifia magufuli tu imekuwa kosa eti wananchi wamemchoka
Wewe utakuwa form 4 failure, angalia waliojibu walioenda shuel..."Hujaelew mtoa hoja, ameshindwa kutetea hoja za shida za wananchi wake ameishia mambo ya maendeleo hayana chama. Ilibidi aseme shida za wananchi wake. Kuna mambo ya msingi ya kuyasemea wananchi"Maedeleo ni kweli hayana chama labda kwenu nyiee wajinga msio na shule ,je maedeleo akileta mwanachadema yanafaidisha wana chadema au hata ccm wanafaidi ,hivi nyie manaojitoa ufaham au ni bangi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
elewa, soma hapa ...Hujaelew mtoa hoja, ameshindwa kutetea hoja za shida za wananchi wake ameishia mambo ya maendeleo hayana chama. Ilibidi aseme shida za wananchi wake. Kuna mambo ya msingi ya kuyasemea wananchi"[emoji23] [emoji23] [emoji23] mlitaka aseme maendeleo yameletwa na chadema????
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] kutetea hoja za shida za wananchi wakati wa ufunguzi wa mradi??elewa, soma hapa ...Hujaelew mtoa hoja, ameshindwa kutetea hoja za shida za wananchi wake ameishia mambo ya maendeleo hayana chama. Ilibidi aseme shida za wananchi wake. Kuna mambo ya msingi ya kuyasemea wananchi"
Mbaruku umesahau kuwa kama si UKAWA usingeliupata ubunge, Tanga ni ya CCM. Uliibuka mshindi kwasababu ya UKAWA, leo unasema maendeleo hayana chamaHuelewi, we ni mgumu kuelewa. Soma post hii nimeitoa hapa aliyeelewa" "Kusema maendeleo hayana chama sio kosa kosa ni kutokuwasilisha Shida za wananchi na kukalia kumsifia mtu kwa kutimiza wajibu wake unaomlipa mshahara"
mbona hamkumsema kubenea alipoacha kwenda kwenye uzinduzi wa hosteli wakati ile shughuli ilikuwa inahusu jimbo lake au wana ubungo hawana shidaWewe utakuwa form 4 failure, angalia waliojibu walioenda shuel..."Hujaelew mtoa hoja, ameshindwa kutetea hoja za shida za wananchi wake ameishia mambo ya maendeleo hayana chama. Ilibidi aseme shida za wananchi wake. Kuna mambo ya msingi ya kuyasemea wananchi"
mfu anaandika jamani lohKweli kabisa, alitakiwa asimame jukwaani aombe nchi wahisani watunyime misaada.
Lipumba hakujitoa amenunuliwa na CCM hakuna fisadi UKAWA bali Richmond ni ya kikwete, upuuzi unao mwenyewe usiyejua kuwa CCM inatumia pesa nyingi kudidimiza vyama vya upinzani badala ya viwanda na maendeleo, kwa sasa Lipumba anavuna mabilioni toka CCM amewageuza CCM buzi la kuchuna pesa huku Madalali wa siasa wakineemeka kupitia mgongo huo.Ukawa ndio upuuzi gani wewe.ondoa takataka hizo sasa zimekuwa zilipendwa.. mnafanya ukawa utafikiri ni muunganiko wa vyama wakati ilikua ni issue ya bunge la kikatiba tu. Ukawa yenyewe ilishasambaratika baada ya kuvamiwana watuhumiwa wa ufisadi.. hivi sasaimebaki chadem peke yake, sababu Lipumba alishajitoa, nld haipo, nccr imepoteza mwelekeo! ,, sasa ukawa iko wapi...
Ukawa haijafa licha ya CCM kutumia mabilioni ya pesa za Umma kuidhoofisha.Huyo ni mbunge makini anachoangalia maslahi ya wapiga kura wake.
Kwa taarifa sahihi UKAWA ilikufa baada ya uchaguzi mkuu 2015
Ndio, kwasababu in Jimbo lake KiKATIBA na Haki yake. Jimbo Sio LA magu wala LA CCM.mlitaka aseme kuwa yeye ndiye kaleta huo mradi?
Shida ya wapiga kuna wake ni maendeleo ambayo hayana Chama, we vipi huelewi vitu vidogo kama hivyo? Au ulitaka aombe maandamano yasiyo na ukomo?Hujaelew mtoa hoja, ameshindwa kutetea hoja za shida za wananchi wake ameishia mambo ya maendeleo hayana chama. Ilibidi aseme shida za wananchi wake. Kuna mambo ya msingi ya kuyasemea wananchi
Sent using Jamii Forums mobile app