TANZIA Mbunge wa Sumve, Richard Mganga Ndassa akutwa amefariki hotelini Dodoma. Rais Magufuli atuma salaam za rambirambi

Status
Not open for further replies.
Pascal Mayalla,
Homeman mtaa wa mafere, siku kaanza tu ubunge akavuta Ranger rover nyekundu tunepiga maji mango kaiacha pale karudi hm kwa mguu.

Wazee wa kazi wakaichezea sana waondoke nayo aah wapi iligoma, siku ya pili tunapiga supu huyo kaja kapiga key kaondoka.
 
G Sam,

Aah! kumbe Ndassa alikuwa na elimu ndogo kiasi hiki!!!!!! Ama kweli, debe tupu haliachi kutika.
 
tanzanians not seriously mtu ameshika barakoa mkononi kama funguo akichangia hoja bungeni endeleeni tu na wao ndio wangepiga marufuku ndege kuingiza wageni nchini 😷 😷 :oops: :oops:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom