,mchango wake kifedha ni mkubwa mno ndani ya chama na alikisaidia chama kifedha kipind cha uchaghuzi mkuu hiki chama hakina shukrani "' mwisho wa Kumnukuu
Safi sana msimamo wako ni mzuri sana!karibu sana CHADEMA!!
Samahani sijakuelewa hapo kwenye nilipoonyesha kwa wino mwekundu. Sasa mtu akurudisha kadi anawezaje kuwa mwanachama wa kawaida?
"'kama pesa ninazo sikuhingia kwenye siasa kuganga njaa bwana mdogo ,ninao uwezo wa kuwaajiri wajumbe wote wa kamati ya siasa ya mkoa, haiwezekani wakate jina la ochele anakubalika kuliko hata mimi ,mchango wake kifedha ni mkubwa mno ndani ya chama na alikisaidia chama kifedha kipind cha uchaghuzi mkuu hiki chama hakina shukrani "' mwisho wa Kumnukuu
chadema anamaanishaSamahani sijakuelewa hapo kwenye nilipoonyesha kwa wino mwekundu. Sasa mtu akurudisha kadi anawezaje kuwa mwanachama wa kawaida?
absolutelly mkuu tena wataanza na lakairo hotel kisingizio imejengwa ndipo sipo.huo mkwara tu namfahamu lameck hawezi kurudisha kadi maaana ni mfanya magendo mkubwa ccm watamfilisi akithubutu
Mmmh hapa napata wasiwasi kama kweli anafaa huko unakomkaribisha.Safi sana msimamo wako ni mzuri sana!karibu sana CHADEMA!!
Mhe Mbunge wa rorya Lameck Airo ametishia kujiuzulu ubunge baada ya mgogoro kuibuka juzi baada ya kamati ya siasa kukata jina la rafiki yake charles Ochele obuto kugombea uenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Rorya
Mbunge wa Rorya Lameck Airo amesema endapo maamuzi ya kamati ya siasa ya mkoa hayatatenguliwa yuko tayari kurudisha kadi yake na kubaki kuwa mwanachama wa kawaida
"'kama pesa ninazo sikuhingia kwenye siasa kuganga njaa bwana mdogo ,ninao uwezo wa kuwaajiri wajumbe wote wa kamati ya siasa ya mkoa, haiwezekani wakate jina la ochele anakubalika kuliko hata mimi ,mchango wake kifedha ni mkubwa mno ndani ya chama na alikisaidia chama kifedha kipind cha uchaghuzi mkuu hiki chama hakina shukrani "' mwisho wa Kumnukuu
safi sana msimamo wako ni mzuri sana!karibu sana chadema!!