Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,123
- 173,970
Hahah fala huyo jamaa! Ye anafikiri kupotezewa muda ndio kitu chenye maanaMkuu nani aloweka msingi wa degree iwe miaka 3- wewe ulishiriki pia?
Hahah fala huyo jamaa! Ye anafikiri kupotezewa muda ndio kitu chenye maanaMkuu nani aloweka msingi wa degree iwe miaka 3- wewe ulishiriki pia?
Mwamba namkubali sana, anashushaga nondo tu very deep thinker and questionerKwenye hili yupo sahihi na ana hoja za msingi sana.
Hio miaka mitatu unayopoteza una gain nini zaidi ya yule anayesoma course ya muda mfupi! We don’t need more than a year for theoretical learning!Asamehemwe, hajui alisemalo. Yaani elimu ya miaka mitatu itolewe kwa miezi nane? Hayuko siriasi kabisa huyo Mbunge
Atakuwaje na hoja wakati hakusoma? Anawezaje kukosoa mitaala wakati haijui? Tatizo la vijana wasio na kazi siyo kwamba elimu yetu ina shida bali ni kwamba Serikali imevuruga sekta binafsi na ikakaa miaka 5 bila kuajiri. Matokeo yake graduates wanaonekana uselessUmeamua kumu attack? Ishu ni kwamba ana hoja au hana? Usikimbilie kuhukumu njia zake alizotumia kutoboa
Hahahah unasomea manunuzi miaka mitatu wakati watu wananunua vitu kila saa!😂😂😂Nilicheka Sana aliposema wanaosomea taaluma km ya udaktari ni Sawa Tu wakisoma chuo miaka mitatu maana anachokisomea anafanya practical kwenye hospitali,Hilo wwnanchi hatuna tatizo nalo,sasa wenzangu na mie mfano mtu anasomea procurement sijui wenyewe mnaita manunuzi unasomaje chuo miaka mitatu..unanunua nn miaka yote hiyo km siyo kupoteza muda tu..yaani unasomaje miaka mitatu manunuzi alafu unarudi nyumbani unamwambia mzazi nimesomea manunuzi Nani sasa atakuajiri kwenye Duka,miezi name inatosha degree
Huyu Mwamba na msukuma wananifurahisha sn
Hata kama ingekuwa haijavurugwa bado tatizo la ajira lipo tu! Huwezi ku justify kwa kusingizia kuvurugwa kwa sekta binafsi!Atakuwaje na hoja wakati hakusoma? Anawezaje kukosoa mitaala wakati haijui? Tatizo la vijana wasio na kazi siyo kwamba elimu yetu ina shida bali ni kwamba Serikali imevuruga sekta binafsi na ikakaa miaka 5 bila kuajiri. Matokeo yake graduates wanaonekana useless
Huyo mbunge anasema kuwe na masomo yanaitwa;Hata kama ingekuwa haijavurugwa bado tatizo la ajira lipo tu! Huwezi ku justify kwa kusingizia kuvurugwa kwa sekta binafsi!
We jamaa una machungu sana kuona mwamba ni tajiri ila wewe na degree yako unalipwa laki 4!Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.
Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.
Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.
Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Hata mimi sioni hoja hapo.Mkuu kwanini umemcrush moja kwa moja ? labda ana hoja
Ubaya upo kama haiwezi kukuletea pesa! Mfumo uliopo ni kusoma kuajiriwa ukomboe wadogo zako na wazazi wako uzeeni! Sasa kama unamaliza kisha unaenda kupiga debe kwenye dala dala au kutembeza kashata na kuuza mtumba hio degree ina maana gani! Kwa elimu ya std 7 usingeweza kufanya hayo!?Ukiingia chuo
Unafundishwa taaluma mbali mbali;
Ufundi, ualimu, udakitari, sheria, uchumi, uendeshaji biashara, uchimbaji madini. Nk
Ubaya upo wapi?
Chuoni unafundishwa masoma ya kiada kwa kutumia vitabu vya kiada.
Unaelekezwa kusoma vitabu vya ziada, Library zipo,internet ipo vyote unaelekezwa.
Sasa ubaya wa elimu ya Tanzania upo wapi?
Muda upunguzwe kutokana na wakati! Tunapotezeana muda tu! Shule iwe fupi sio unasoma kwa miaka 16 at minimum kisha unarudi mtaani kufanya vitu ambavyo ungeweza kuvifanya kwa shule ya miaka 7 tu!Mtu akisimama na kushauri masoma mapya yaongezwe au/na masomo fulani yaboreshwe hiyo ni sawa.
Kozi mpya kufuatana na wakati sawa.
Kozi fulani zifutwe kutokana na wakati sawa.
Kuna VETA kwa wasio na uwezo wa kwenda higher learning. Tatizo ni kwamba mfumo wa elimu hauongei na mfumo wa ajira. Na ajira zinatengenezwa na Serikali through a strong private sector na zile za moja kwa moja na SerikaliUbaya upo kama haiwezi kukuletea pesa! Mfumo uliopo ni kusoma kuajiriwa ukomboe wadogo zako na wazazi wako uzeeni! Sasa kama unamaliza kisha unaenda kupiga debe kwenye dala dala au kutembeza kashata na kuuza mtumba hio degree ina maana gani! Kwa elimu ya std 7 usingeweza kufanya hayo!?
Nitajie nchi iliyopunguza Degree ikawa ya miezi 8, sijui labda North KoreaMuda upunguzwe kutokana na wakati! Tunapotezeana muda tu! Shule iwe fupi sio unasoma kwa miaka 16 at minimum kisha unarudi mtaani kufanya vitu ambavyo ungeweza kuvifanya kwa shule ya miaka 7 tu!
Degree hazina maana mpaka pale ajira zitakapokuwa reliable! Aidha zipunguzwe muda au zifutwe kabisa watu waishi kwa namna ingine sababu swala la ajira limekuwa changamoto dunia nzima sio bongo tu while wale walioko advantaged hawajali!Nitajie nchi iliyopunguza Degree ikawa ya miezi 8, sijui labda North Korea
Hata Veta itafikia mahali itakuwa inatapika watu hawana michongo maana mafundi wakizidi kitaani unafikiri kitachotokea ni nini?Kuna VETA kwa wasio na uwezo wa kwenda higher learning. Tatizo ni kwamba mfumo wa elimu hauongei na mfumo wa ajira. Na ajira zinatengenezwa na Serikali through a strong private sector na zile za moja kwa moja na Serikali
Kwani kutafuta degree ni lazima? Hiyo ni hiyari ya mtu. Kwa nini iwe tukose wote? Tutazifuata nje ya nchi!Degree hazina maana mpaka pale ajira zitakapokuwa reliable! Aidha zipunguzwe muda au zifutwe kabisa watu waishi kwa namna ingine sababu swala la ajira limekuwa changamoto dunia nzima sio bongo tu while wale walioko advantaged hawajali!