TANZIA Mbunge wa Chalinze (Said Bwanamdogo) afariki dunia

TANZIA Mbunge wa Chalinze (Said Bwanamdogo) afariki dunia

HATA MIMI kusema ukweli mara niliposikia ETI lile jimbo kashinda na kkumtoa yule Bwana kwanza nilimuonea Huruma sana.....sitaki mniulize nini Ila ndo hayo yaliyomkuta ...mana sio kila mtu anataka umyanganye Tonge la sivyo mawili ujikabidhi sana kwa Mungu ama ujichemshe kwa Babu bagamoyo...,..(yote mawili yanawezekana )anayebisha anyooshe kidole!
 
Hakika sote ni wake ALLAH na kwake tutarejea! Mungu amfanyie wepesi katika safari hatma yake
 
Kwani hayo mabomba yanatoa maji wakati wote?

Ndugu naona wewe mgeni njia hii ya Kueleka segera, huko alikotaja kote ni miji iliyo baranarani na ukifika utakuta Madumu ya Maji utafikiri upo kiwanda cha Mafuta cha OKI/KORIE.
 
HATA MIMI kusema ukweli mara niliposikia ETI lile jimbo kashinda na kkumtoa yule Bwana kwanza nilimuonea Huruma sana.....sitaki mniulize nini Ila ndo hayo yaliyomkuta ...mana sio kila mtu anataka umyanganye Tonge la sivyo mawili ujikabidhi sana kwa Mungu ama ujichemshe kwa Babu bagamoyo...,..(yote mawili yanawezekana )anayebisha anyooshe kidole!

Jimbo lilikuwa la Nani?
Hivi hilo si ndio aliloacha dr.dr.dr.dr. Kikwete ?
 
View attachment 133696

Source: EA Radio

Mbunge wa Chalinze (CCM) Mh. Said Bwanamdogo amefariki Dunia leo asubuhi katika Taasisi ya Mifupa MOI, alikokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mrefu, Ofisi ya Bunge inaendelea na Taratibu za mazishi/maziko baada ya kuwasiliana na ndgu wa marehemu



NB: Tafadhali msiniulize ugonjwa maana haujasemwa

huyu naye alichaguliwa kabisa na wananchi???appearance mattersss,anyway rest in peace brother
 
usihangaike na huyo jamaa , naona anapanga kunitafutia shari .
Wakati anaumwa hakuhangaika kwenda kumjulia hali na kumuuliza anaumwa nini, leo kafariki ndio anajitia unafiki wake kuulizia alikua anaumwa nini.

"Sisimizi" hua wana shida sana aisee Mkuu wangu.
 
alikuwa anaugua tumbo muda mrefu alishafiwa tiba India, akijiandaa kurudi tena afya ndio ikabadilika...
Msiba unaandaliwa nyumbani kwake mitaa ya Kibamba....

Inaaminika alikuwa akiumwa kansa ya koo. Kwa stage aliyofikia asingeweza kupona hata kama angerudi india sana sana angeongeza wiki chache au miezi kadhaa ya kuishi kwa mateso makali. Tatizo hili la kansa linakua kwa kasi ya ajabu. Sijui watafiti wa wizara ya afya wana majibu gani kuhusu tatizo hili. Kansa ishawamaliza ndugu zangu 4 na rafiki 3 kwa muda wa miaka takribani 5 hivi iliyopita.

Upimaji wa gonjwa hili haufanywi mapema kwa watu wengi. Kansa ikigundulika mapema sana kuna uwezekano 'mkubwa' wa kupona. Wagonjwa wengi hugundua ugonjwa wakiwa hoi na baada ya 'try and error treatment process' ya muda mrefu ya hospitali zetu za chini.

Mwisho iwapo utabahatika? kupewa rufaa toka muhimbili ya kwenda india hapo ndipo utawajua wizara ya afya kitengo cha wagonjwa waondao nje ya nchi. Rushwa, kujuana, na uzembe ni sehemu ya maisha yao. Pale unaweza kuambiwa kuwa zamu yako itakuwa miezi 7 ijayo. Kansa haitaki bureaucracy yenu ya kiswahili. Itaendelea kumtafuna mgonjwa. Anapofika india huwa too late.


Operations zao humpunguzia mgonjwa maumivu ya eneo ilipokuwa kansa. Baada muda atatakiwa arudi tena kwa matibabu ya sehemu nyingine.

Wakuu tupigane na tatizo hili. Ukimwi unaweza kuishi nao, sio kansa. Kwa kuanzia nenda kapime sasa. Kwa waliouguza nadhani wanafahamu hili, kwa kansa, unaweza kuomba hata kuanzishwe sheria ya 'mercy killing'.


Rip Bwanamdogo. Umetangulia.
 
imekuaje kafia bongo( Taasisi ya Mifupa MOI )!!?.haya ni maajabu kuwahi kuyashuhudia kwa kiongozi aliyewakilisha chama kubwa na tajiri-CCM.RIP BWANA MDOGO.

Tatizo ni nini? Alikwishatibiwa India zaidi ya miezi tisa.
 
Back
Top Bottom