TANZIA Mbunge wa Chalinze (Said Bwanamdogo) afariki dunia

TANZIA Mbunge wa Chalinze (Said Bwanamdogo) afariki dunia

View attachment 133696

Source: EA Radio

Mbunge wa Chalinze (CCM) Mh. Said Bwanamdogo amefariki Dunia leo asubuhi katika Taasisi ya Mifupa MOI, alikokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mrefu, Ofisi ya Bunge inaendelea na Taratibu za mazishi/maziko baada ya kuwasiliana na ndgu wa marehemu



NB: Tafadhali msiniulize ugonjwa maana haujasemwa

asante kwa taarifa mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
 
Utaniambia kama Rizmoko hajachukua fomu

kuna mtu wa CDM makao makuu kanipigia SIMU akishangilia kuwa jimbo litaenda kwao kwakuwa 2010 walizulumiwa nimecheka sana....
jimbo analotoka mwenyekiti liende CDM? itakuwa maajabu ya karne
 
amefariki kipindi ambacho operation pamoja daima inaingia tutegemee vifo kama hivi kwa magamba kuwa vingi wakati wa hii operation itakavyoanza

una akili timamu kweli,,,yaani unafurahia kifo cha binadamu mwenzio kisa ushabiki wa kichama? We sio bure inabidi ukapimwe akili
 
Kama ni wa CCM ya kina Mwingulu Nchemba aka Lameck Madelu bora afe maana hawana mchangu wowote zaidi ya kusinzia Bungeni, bora yapungue
 
Poleni wafiwa tupo Pamoja kwenye msiba mzito - wakati huo huo wana CDM jimbo hilo liko wazi cha msingi ni kujipanga maana matokeo ya 2010 yanaonyesha CDM hamkuwa na mgombea nafasi ya Ubunge sijui nini kilitokea - matokeo yalikuwa hivi.

[TABLE="class: arc90_altrows-Blue"]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]PWANI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]WILAYA YA BAGAMOYO[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]CHALINZE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%, bgcolor: #B3D5E6"]Candidate[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Political Party
[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Number of Votes
[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Percentage Votes
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] BWANAMDOGO SAIDI RAMADHANI [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
CCM
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]32,924[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 87.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] KINGWALA MIRAJI ALLY [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
CUF
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]2,837[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 7.52[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] NEEMA MFUNGO MASAMAKI [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
DP
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]299[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.79[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] WAZIRI ISSA TOWAKALI [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
UPDP
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]263[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"][/TD]
[TD="width: 20%, align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
unaambia amefariki , habari kamili ipi unayoitaka ? Kama ni mipango ya mazishi wasiliana na ndugu wa marehemu walioko chalinze .

Duu kazi kwelikweli jino kwa jino kama hutaki kumueleza mwenzako si afadhali ukae kimyaa tu
 
Poleni wafiwa tupo Pamoja kwenye msiba mzito - wakati huo huo wana CDM jimbo hilo liko wazi cha msingi ni kujipanga maana matokeo ya 2010 yanaonyesha CDM hamkuwa na mgombea nafasi ya Ubunge sijui nini kilitokea - matokeo yalikuwa hivi.

[TABLE="class: arc90_altrows-Blue"]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]PWANI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]WILAYA YA BAGAMOYO[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]CHALINZE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%, bgcolor: #B3D5E6"]Candidate[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Political Party
[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Number of Votes
[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Percentage Votes
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] BWANAMDOGO SAIDI RAMADHANI [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
CCM
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]32,924[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 87.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] KINGWALA MIRAJI ALLY [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
CUF
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]2,837[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 7.52[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] NEEMA MFUNGO MASAMAKI [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
DP
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]299[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.79[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] WAZIRI ISSA TOWAKALI [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
UPDP
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]263[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"][/TD]
[TD="width: 20%, align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

chadomo wapii?
 
Poleni wafiwa, poleni magamba, poleni policcm na vijana wote wa ujira wa buku 7.

Amen.
 
Poleni sana wafiwa.

Ila uchaguzi lini?
Maana jimbo liko wazi.

Pole zangu kwa wanafamilia n wananchi wa jimbo la Chalinze. Kwani sharia ya uchaguzi inasemaje kuhusu muda wa mwisho juu ya kuitisha uchaguzi mdogo akifaki mbunge kabla ya uchaguzi mkuu??
 
Back
Top Bottom