TANZIA Mbunge wa Chalinze (Said Bwanamdogo) afariki dunia

TANZIA Mbunge wa Chalinze (Said Bwanamdogo) afariki dunia

Inalilah waina ilaih rajiuni Mungu ailaze pema peponi roho ya marehemu.
 
Pole zangu kwa wanafamilia n wananchi wa jimbo la Chalinze. Kwani sharia ya uchaguzi inasemaje kuhusu muda wa mwisho juu ya kuitisha uchaguzi mdogo akifaki mbunge kabla ya uchaguzi mkuu??

Ndani ya siku 90 yaani miezi mitatu tume inatakiwa kutangaza kuwa jimbo liko wazi na kuitisha uchaguzi mapema sana
 
Baada ya mazishi sasa ccm tukutane hizo sehemu mbili yaani jimbo la kalenga kwa aliyekuwa waziri wa fedha na huko chalinze....
 
kwahyo mwezi wa 4 hiv

Regarding to the so-called statutory interpretation, it should be within 90 days, lakini kwa style ya sheria za Tanzania kuwa polluted na politics waweza shangaa wakatangaza hata baada ya miezi 7 rejea ya Sombetini. Lakini pia wanaweza kuja na hoja ya kwamba uchaguzi mkuu wa mwakani uko jirani hivyo hakuna haja ya kuingia gharama za uchaguzi, si unajua tena kila kitu tz kinawezekana ktk Tanzania ya Nyerere na aliowaamini........ambao siye wengi wetu hatuwaamini japo wao vichwa ngumu
 
Polen familia yate iliyoguswa na msiba huu, ktk wakati huu mnapaswa kuwa wavumilivu, MUNGU awatie nguvu.(Yaan kunawatu humu ndan mawazo yao yamekaa kisiasa tu hata hawana cha kufiri kingine!) Nw n msiba sote tuungane.
 
namkumbuka jamaa alikuwa mkuu wa wilaya kondoa kabla ya kuwa mbunge. R.I.P Side Bwanamdogo
 
Kweli alikuwa kiongozi mzalendo. AMEFIA TANZANIA katika hospitali ambayo mwananchi wa kawahda anategemea.
 
Apepe Mh. Bwanamdogo.
Haya Bw.Madega jimbo hiloooo. CHADEMA isihangaike kwenda kule Watu wa kule jimbo la Chalinze kuanzia Msata,Mbwewe,Lugoba,Mboga,Msoga, Chalinze,Vigwaza,Mdaula,Ubenazomozi na Bwawani wametimiziwa ahadi ya Maji kutoka Wami! kwa hilo tu CCM itapeta tu.

Kwani hayo mabomba yanatoa maji wakati wote?
 
View attachment 133696

Source: EA Radio

Mbunge wa Chalinze (CCM) Mh. Said Bwanamdogo amefariki Dunia leo asubuhi katika Taasisi ya Mifupa MOI, alikokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mrefu, Ofisi ya Bunge inaendelea na Taratibu za mazishi/maziko baada ya kuwasiliana na ndgu wa marehemu



NB: Tafadhali msiniulize ugonjwa maana haujasemwa

asavali umefa bongo maana ingekuwa nje ya nchi mjombako angeenda kukufuata.. pole zao wote waliokuwa wanamtegemea..
 
Wakati muafaka mkweree kumrithisha mwanae ubunge wa Chalinze!! R.I.P Bwanamdogo.
 
Back
Top Bottom