Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
I am speechless!!! Ukiua kwa upanga nawe utauawa kwa upanga!!! Kama ni kweli it is so sad!!! R1 nimekuchukia rasmi. Offcourse, haitanisaidia kukuchukia ila jua kuwa chuki za watu juu yako zitakupa balaa sana maishani. In the longrun, mambo yako hayatakuwa smooth sana maana kuna damu ziko nyuma yako.
Mkuu hizo habari nizaukweli na kipindi hicho (2003) ungekuta kuna mchina mbona ningepiga picha na kuziweka hapa. Ila stay tune kama atasimama kama mgombea ubunge kwa tiketi ya ccm utaona habari zake zikiwekwa wazi zikiwa zimejaa ushaidi kamilifu na CDM.
Na hilo likitokea usije ukaniita mtabiri, habari ndo hiyo.