weuh, yaani wamekurupuka nikama uliwatia vidole hawa wanalumumba!Aliyasema ndani ya bunge, mngemhoji huko huko.
weuh, yaani wamekurupuka nikama uliwatia vidole hawa wanalumumba!
Uhuru n Umoja tulia boss corona ifanye kazi take na usiyapuuze 'maigizo' I mean maagizo ya rais. Pembeni ukajifukize...
View attachment 1433636
Sema tu siruhusiwi kuweka link za keny#talk humuweuh, yaani wamekurupuka nikama uliwatia vidole hawa wanalumumba!
Uhuru n Umoja tulia boss corona ifanye kazi take na usiyapuuze 'maigizo' I mean maagizo ya rais. Pembeni ukajifukize...
View attachment 1433636
Hao wanajulikana lengo lao niniKuna jamaa zenu kule tweeter sijui kagogo na mange yaani wanatupia videos na mapicha hadi inatia huruma, naomba zisiwe za kweli, iwe tu wanatengeneza tu.
Unasubiri ziokotwe maiti 2,000 ndiyo akili yako iwe timamu?
Wakenya na Watanzania wajinga wamekutana kubishania idadi ya waathirika na vifo
Pia ashauri Tanzania ianze kutumia mfumo wa majimbo kama ilivyo Kenya, ili serikali kuu iache kuhusishwa na vimiradi vidogo vidogo kama vle barabara za vijijini.
Wakenya mnahangaika na pilipili ya shambaPia ashauri Tanzania ianze kutumia mfumo wa majimbo kama ilivyo Kenya, ili serikali kuu iache kuhusishwa na vimiradi vidogo vidogo kama vle barabara za vijijini.
Pia ashauri Tanzania ianze kutumia mfumo wa majimbo kama ilivyo Kenya, ili serikali kuu iache kuhusishwa na vimiradi vidogo vidogo kama vle barabara za vijijini.
Usijali boss lazima tuhangaike vile mlihangaika wenzenyu wakifungue threads kila siku kuhusu kenya
Hili ndilo linalonishangaza ninapoona haya mapambio ya praise teamUnasubiri ziokotwe maiti 2,000 ndiyo akili yako iwe timamu?
Ni ya nani hiyo tweet kabla sijaifunguaDrone Camera yamekua haya.....poleni.
Umeandika nini boss ?Usijali boss lazima tuhangaike vile mlihangaika wenzenyu wakifungue threads kila siku kuhusu kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua ni nyuzi ngapi zimefunguliwa na wenzako hapa kuzungumzia Kenya? Joto la jiwe na Geza Ulole wanazifungua kila siku ni kama wanalipwa na sisiemuMbona wewe kucha kutwa kuishindia Tanzania utafikiri inakulipa?
Give your brain time iprocess kenye nimeandika, it will make sense ukiamka kesho