Mbunge "Sugu" apata ajali ya gari!

Mbunge "Sugu" apata ajali ya gari!

Naomi ya kijinga kila Kitu Kibaya CCM. Gari muendeshe wenyewe lawama CCM, utoto huo kueni.
 
alikuwa nasikiiza cloud fm???? Haya ndiyo masihara sensu Nepi wa CCM
 
I wish liwasa angekufa na hiyo ajali.

Ili iweje ndugu...?
Fikiria,yule angekuwa ndio ndg yako wa muhimu halafu watu wamuombee afe,
Amekosa nini kiasi cha kumwombea kifo...?
MUNGU asikuhesabie dhambi hii..
 
La!mbona safari hii majanga?pole kamanda Sugu,Mungu yu pamoja nawe!
 
Ah hiu ripoti haijachangamka kabisa. Mu nlijua ndio HALELUYAH TUTAONANA MBUNGUNI KWA BABA!!!! mmezoea kumwaga damu za wananchi, naona sasa damu zenu nazo xinahitajika

na laana iwe kwako kwa kuombea wenzio vifo, hebu hiyo "haleluyah" iimbwe kwenye familia yenu kabla mwezi huu haujaisha.
 
Pole sana Sugu ,Mungu akupe afya njema uendelee na haya mapambano
Tupeni more update
 
Back
Top Bottom