Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
Huyo lazima alikuwa anasikiliza Clouds FM ndo maana kapata ajali. Clouds wamemsababishia ajali.
Mkuu,Uso kwa uso na asidhurike?
Lissu gari yake imevunjwa kioo. Nassari kavunjwa pua. Sugu kapata ajali. Who is next on the list? Mungu walinde watu wako.
Kwani umeambiwa simu ya Sugu ndio iliyopata ajali!!!?Namba ya Sugu : 0716627344 ipo hewani kama kawaida. Acheni Unafiki.
Huyo lazima alikuwa anasikiliza Clouds FM ndo maana kapata ajali. Clouds wamemsababishia ajali.
Mkuu,
Ndio maana ya kuahbarishana. Kama una habari tofauti na hizi unaruhusiwa kuziweka. Sioni ajabu ya magari kugongana uso kwa uso na mtu asidhurike. Zipo sababu nyingi zinazoweza kufanya hilo liwe. Tafakari, usikurupuke!
Semeni ni njama ya ccm, hawa wabunge wengine bora wapewe bajaji tu,hizi cruiser zitawamaliza
Roger that!Pole Mkeshaji kama nimekukwaza. Ila huwa magari yakigongana uso kwa uso, kati ya basi na gari za binafsi kama ambalo huenda atakuwa amepakia Mh. Sugu, mara nyingi kutoka salama kabisa ni ngumu. Mimi sina taarifa zozote, nilichokuwa nataka ni maelezo ya kina ili tusije tukapotoshana. Juzi tulikuwa tunasoma habari za Nassari, kuna mtu alihoji habari zilizotumwa, kumbe kweli Nassari ameumizwa na amepelekwa hospitalini. Ni kutaka kujua zaidi tu
pole sana SUGU