Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
pole sugu, usije kuta ajali ya kupangwa, nimekosa imani kabisa na maccm.
mambo mengine tunakisingizia ccm, ajali ni ajali tu.
pole sugu, usije kuta ajali ya kupangwa, nimekosa imani kabisa na maccm.
Wanabodi,
Nimepata taarifa kuwa Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi (Sugu)
amepata ajali mbaya ya barabarani wilayani Hanang' baada ya gari lake
kugongana uso kwa uso na basi la abiria.
Ajali hiyo imetokea muda mfupi uliopita wakati Mh. Sugu akielekea
Arusha.
Taarifa zinadai Mh. mbunge hajadhurika!
Tuendelee kufuatilia zaidi; na kama kuna mwenye taarifa zaidi na
atujuze.
Wasalaam!
Ah hiu ripoti haijachangamka kabisa. Mu nlijua ndio HALELUYAH TUTAONANA MBUNGUNI KWA BABA!!!! mmezoea kumwaga damu za wananchi, naona sasa damu zenu nazo xinahitajika
acheni porojo. "sugu kapata ajali mbaya" lakini hakudhurika. ujinga huu
Pole Mkeshaji kama nimekukwaza. Ila huwa magari yakigongana uso kwa uso, kati ya basi na gari za binafsi kama ambalo huenda atakuwa amepakia Mh. Sugu, mara nyingi kutoka salama kabisa ni ngumu. Mimi sina taarifa zozote, nilichokuwa nataka ni maelezo ya kina ili tusije tukapotoshana. Juzi tulikuwa tunasoma habari za Nassari, kuna mtu alihoji habari zilizotumwa, kumbe kweli Nassari ameumizwa na amepelekwa hospitalini. Ni kutaka kujua zaidi tu
Uso kwa uso na asidhurike?
Unisiambie amenusurika mkuu?lowasa naye kapata ajali source... Moshi fm.