Mbunge "Sugu" apata ajali ya gari!

Mbunge "Sugu" apata ajali ya gari!

Kama amesalimika tunamshukuru sana Mungu kwani uwepo wake ni muhimu hasa wakati huu wa harakati hizi
 
Dah! hawa wana wanjua kuwaweka watu roho juu!ebu mwenye busara mmoja atiririke kiukweli watu tushushe presha bhana!
Nyie mnafanya mzaha na mpango wa uso kwa uso eh?yaani mnaongea kama hayo magari yalikuwa yanapeana denda!
 
Ni kweli sugu amepata ajali nimepewa taarifa na mtu mmoja aliyekuwa safarini kutoka mwanza kwenda arusha kwan waliipita ajali hiyo njiani
 
Pole sana kamanda sugu mungu yu pamoja nawe.
 
hivi sugu nyimbo yake wa mwisho kuimba ni ipi niombe clouds fm wapige kwenye kipindi cha Miladi ayo
 
Back
Top Bottom